Kuna wanaume JamiiForums wana pesaa balaa!

Kuna wanaume JamiiForums wana pesaa balaa!

Hahahahaha.... pamoja sana lol ila utani wako wa ngumi ujue .. wanaume wasake hela sio kushinda mitandaoni kuzogoa tehtehteh .......mimi ndrukiii


cc Smart911

Wapo wanaosaka pesa juani (Wanazifukuzia pesa), wao kua online mpaka baadae sana...

Wapo wanaosaka pesa (Kivulini) kwenye kiyoyozi na kikombe cha kahawa pembeni (Pesa zinawafukuzia wao)... online muda wowote...
 
Wapo wanaosaka pesa juani (Wanazifukuzia pesa), wao kua online mpaka baadae sana...

Wapo wanaosaka pesa (Kivulini) kwenye kiyoyozi na kikombe cha kahawa pembeni (Pesa zinawafukuzia wao)... online muda wowote...


Heri yao wanaume wenye pesa...maana wana uwezo wa kufanya chochote kasoro kuzuia kifo tu. ambacho hakizuiliwi na binadamu ila yeye aliye juu.
 
Kama ulikuwa hujui

Kuna wanaume hapa wanamiliki madorali mpaka unashangaa nataman niwatag lakini naona PM zaoo zitastack kama simu za Tecno.


Sifa zao
Huwa hawacomment ila wanalike tu.

Ni balaaaaaaaa huuhuuuu ngoja niishie hapaaa.

Lakini siwezi kuacha kumtag Jr maana yeye tajiri wa tunguli ana uwezo wa kugeuza makaratasi kuwa pesaa.


Wanaume matajiri Jf huwezi kumkuta hata siku moja anachit chat kama Mbao za Mawe au Daby.

Za kuambiwa changanya na zakoo.


Wanaume wenye madorali Jf leo tupo pamoja tumechoka hizi brand I'd kumbe hazifanani na wahusika alafu nyie mnaomiliki mikwanja mmejificha hamtaki kujulikana loooh kazi kweli kweli.




Mrs Jr.
Sema utapata hela nzuri kwa hii promo
 
Kama ulikuwa hujui

Kuna wanaume hapa wanamiliki madorali mpaka unashangaa nataman niwatag lakini naona PM zaoo zitastack kama simu za Tecno.


Sifa zao
Huwa hawacomment ila wanalike tu.

Ni balaaaaaaaa huuhuuuu ngoja niishie hapaaa.

Lakini siwezi kuacha kumtag Jr maana yeye tajiri wa tunguli ana uwezo wa kugeuza makaratasi kuwa pesaa.


Wanaume matajiri Jf huwezi kumkuta hata siku moja anachit chat kama Mbao za Mawe au Daby.

Za kuambiwa changanya na zakoo.


Wanaume wenye madorali Jf leo tupo pamoja tumechoka hizi brand I'd kumbe hazifanani na wahusika alafu nyie mnaomiliki mikwanja mmejificha hamtaki kujulikana loooh kazi kweli kweli.




Mrs Jr.
Mh huu uzi unawafaa wadada zaidi,
 
Wapo wanaosaka pesa juani (Wanazifukuzia pesa), wao kua online mpaka baadae sana...

Wapo wanaosaka pesa (Kivulini) kwenye kiyoyozi na kikombe cha kahawa pembeni (Pesa zinawafukuzia wao)... online muda wowote...
Una busara sana mkuu, tatizo hadi tuwatoe out na matumizi makubwa ndo wanajua pesa zipo, labda mtoa mada huwa anaoneshwa account balance ndo ntakubali, ila sisi wenye mapesa yetu hatuna mbwembwe matumizi ya fujo ni mbinu tuu ya kujitutumua, watu wanamiliki miradi iliyoajiri watu na hawapigi kelele
 
Back
Top Bottom