Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Zile takataka zinazoshinda pm na kukataliwa zina midomo kweli. Mtu anakujaka konyo konyo siendagi pm za wanawake kumbe akienda anakula za mbavu. Mwanaume huna hela wala huna akili nani anakutaka.? Basi kosa hela ila uwe na busara pia huna. Watafuta takataka wenzao wabebane sisi watuacheWouzeeer [emoji91][emoji91][emoji91] nakazia