Ipananga kulwa
JF-Expert Member
- Jul 24, 2017
- 573
- 293
poa utangaze na kiingilio mapema ili nianze kujichangatukippiga mechi nyingine ntakualika uje uwe shuhuda
Katoka jela huyo! Wamawake wenyewe walivyo rahisi cku hz unachovya kila sehemu, ndo nikeshe kifuani! Ananilipa? Marioo ndo wanafanyaga hivyo, co kwa mwenye mishe zake na mtuu hakikaw uhakika wa kupata dem wkt wwtA alaykum to all muslim na wale wenzentu wa imani tofauti na yangu tumsifu Yesu Kristo. Leo Jumapili tulivu nataka nitoe kijistori kidogo kinachohusu mahusiano yangu.
Nilianza mahusiano na mwanaume huyu september 12/2017 nakumbuka kitu kama hichi. Kiukweli mwanaume huyu alikuwa bora.
Basi mapenzi yaliendelea mpaka siku nikakutana nae titi fotati face to face he he heee. Huyu mwanaume ni shidaah kuanzia muonekano wake yani ni shida ni mwembamba, mweusi, mrefu kiasi ni muongeaji sana na mjuzi mno wa kubembeleza na kukufanya kujihisi mwanamke ukiwa nae.
Sasa balaa linakuja kwenye mambo yetu yale. Mwanaume anamichezo huyu sijapata kuiona tangu nizaliwe na kwenye game ukimuendekeza na kumuachia k anaweza kufanya mapenzi na wewe usiku kucha.
Chukua sifa zako kokote ulipo unadeserve kuwa mwanaume wa mwanamke yeyote aliyokamilika. Kiukweli ni mwanaume ambae alinifanya nifurahie mahusiano na kiukweli sijutii kuwa nae.
Sasa huyu kwangu mimi namuita mwanaume mashine all in all yote i like the way unavyonishauri mambo mema na yenye manufaa kwangu japo unatumia njia ambazo hata mimi zinanifanya nishindwe kukuelewa but thanks so much kwa hilo.
Thanks muwe na asubuhi tulivu
Huyu ndio aliehangaikiwaaa hahahahahaha
Malaika wetu gabrieli aliehangaikiwa sanaaaaa, ndio huyu mama.Huyu ndio aliehangaikiwaaa hahahahahaha
Hahahaaaa!! SIPANGIWI MIMI.Putin njoo unitake radhi plizzzzz.... Kumbe umemdate hata hamjaonana!!! Njoo uniombe msamaha kwa magoti
Haha sijaamini kwa kweliMalaika wetu gabrieli aliehangaikiwa sanaaaaa, ndio huyu mama.
Nimeshakudharau Na ukiendlea naanika mambo yako yote.PIPA TUPU WeHahahaaaa!! SIPANGIWI MIMI.
HahahahahahahahaPutin njoo unitake radhi plizzzzz.... Kumbe umemdate hata hamjaonana!!! Njoo uniombe msamaha kwa magoti
Aahahahah nakojoaaaaMalaika wetu gabrieli aliehangaikiwa sanaaaaa, ndio huyu mama.
Mima wangu malaika wengine wote mnatafuta mabwana.Mwanamke anayejiheshimu hawezi kuandika kama hivo.WEWE MRAHISi hata maandishi yako yanaonekana.Hahahahahahahaha
Ukimaliza ufue na pichu ulaleAahahahah nakojoaaaa
Sio makosa yenu soon vyuma vitalegea ha ha ha ha na badoooMima wangu malaika wengine wote mnatafuta mabwana.Mwanamke anayejiheshimu hawezi kuandika kama hivo.WEWE MRAHISi hata maandishi yako yanaonekana.
We amini tu, haya ndio matendo ya malaika upoooo!!Haha sijaamini kwa kweli
Mima unajua nimekuhangaikia Sana.... Wewe siyo mrahisi... mima wangu malaikaaa!!Sio makosa yenu soon vyuma vitalegea ha ha ha ha na badooo
NakunyaaaaaaaaaaahUkimaliza ufue na pichu ulale
YAANI KAA HAPO HAPO, NITAKUJIA NA MAPAFU YA MBWA NIKUANIKE VIZURI, WE SI NDIO WOMANITY.Nimeshakudharau Na ukiendlea naanika mambo yako yote.PIPA TUPU We
Hahahahhaha.... Jamani malaika wetu huyu ni Shida.... Hapana chezea mapafu ya panda!! Kadetiwa kabla hajamuona PutinWe amini tu, haya ndio matendo ya malaika upoooo!!
Hahahaaaa!! Mbavu zangu.
Putin saizi yako bana,,usiadhan kila.mtu anapenda aina ya putinSio makosa yenu soon vyuma vitalegea ha ha ha ha na badooo