Kuna wanaume wana mapafu ya punda (wanaume kumbe bado wapo ila wachache)

Kuna wanaume wana mapafu ya punda (wanaume kumbe bado wapo ila wachache)

A alaykum to all muslim na wale wenzentu wa imani tofauti na yangu tumsifu Yesu Kristo. Leo Jumapili tulivu nataka nitoe kijistori kidogo kinachohusu mahusiano yangu.

Nilianza mahusiano na mwanaume huyu september 12/2017 nakumbuka kitu kama hichi. Kiukweli mwanaume huyu alikuwa bora.

Basi mapenzi yaliendelea mpaka siku nikakutana nae titi fotati face to face he he heee. Huyu mwanaume ni shidaah kuanzia muonekano wake yani ni shida ni mwembamba, mweusi, mrefu kiasi ni muongeaji sana na mjuzi mno wa kubembeleza na kukufanya kujihisi mwanamke ukiwa nae.

Sasa balaa linakuja kwenye mambo yetu yale. Mwanaume anamichezo huyu sijapata kuiona tangu nizaliwe na kwenye game ukimuendekeza na kumuachia k anaweza kufanya mapenzi na wewe usiku kucha.

Chukua sifa zako kokote ulipo unadeserve kuwa mwanaume wa mwanamke yeyote aliyokamilika. Kiukweli ni mwanaume ambae alinifanya nifurahie mahusiano na kiukweli sijutii kuwa nae.

Sasa huyu kwangu mimi namuita mwanaume mashine all in all yote i like the way unavyonishauri mambo mema na yenye manufaa kwangu japo unatumia njia ambazo hata mimi zinanifanya nishindwe kukuelewa but thanks so much kwa hilo.


Thanks muwe na asubuhi tulivu
Katoka jela huyo! Wamawake wenyewe walivyo rahisi cku hz unachovya kila sehemu, ndo nikeshe kifuani! Ananilipa? Marioo ndo wanafanyaga hivyo, co kwa mwenye mishe zake na mtuu hakikaw uhakika wa kupata dem wkt wwt
 
Mima wangu malaika wengine wote mnatafuta mabwana.Mwanamke anayejiheshimu hawezi kuandika kama hivo.WEWE MRAHISi hata maandishi yako yanaonekana.
Sio makosa yenu soon vyuma vitalegea ha ha ha ha na badooo
 
Nimeshakudharau Na ukiendlea naanika mambo yako yote.PIPA TUPU We
YAANI KAA HAPO HAPO, NITAKUJIA NA MAPAFU YA MBWA NIKUANIKE VIZURI, WE SI NDIO WOMANITY.
AU ACHA TU NIKUDHARAU.
 
We amini tu, haya ndio matendo ya malaika upoooo!!

Hahahaaaa!! Mbavu zangu.
Hahahahhaha.... Jamani malaika wetu huyu ni Shida.... Hapana chezea mapafu ya panda!! Kadetiwa kabla hajamuona Putin
 
Back
Top Bottom