Kuna wanaume wanatongoza vibaya! Kero mpaka vituko



Duh hapo lazima uchanganyikiwe aisee,,,,
 
Mimi sikumbuki mara ya mwisho kutongoza ilikua mwaka gani.
 
Haha...hatari sana...mimi huwa siendelei nikiona muhusika haoneshi muelekeo....mara nyinyi natengeneza mazingira ya yeye kunielewa...90% ya mahusiano yangu yote...sikuwahipiga misele mirefu au uongo mwingi au hata kusema i love you...baada ya mahusiano ndo maneno yanaanza kwenda huko.....
 
Kuna mmoja nilienda kusalimia kwake nikachelewa kurud ikabid nilale kwake ilipofika asubuh nikashangaa tunagegedana sijui hata alinitongoza saa ngapi?
Mtu mzima hatongozwi anapapaswa tu!
 
Hili swali nimeshajibu
Niliuliza la kwanza Ulijibu kwa generally ndio maana nikakupa hili ili unipe precise answer na. Just to get the specific answer! Make a choice btn the two parties
 
Hapa ndipo nafika nawapa credit wazungu kuliko weusi. Maana wale ujimpiga chicho mara kadhaa tayari ameisha kuelewa unataka nini.
 
Write your reply...ndo mtukubalie hivyohivyo mkuu we mwenyewe sio chako umekikuta acha roho mbaya
 
Hapa ndipo nafika nawapa credit wazungu kuliko weusi. Maana wale ujimpiga chicho mara kadhaa tayari ameisha kuelewa unataka nini.
Uongo wa kizamani huu eti mzungu kumtongoza una mwambia i love you kashakuelewa . Jaribu uone.
 
Ingekua nasikia raha peke yangu sawa Lakini kumbe tunastarehe wote hata na wewe pia unatongoza siku hizi si mke si mume muhimu pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…