Ahsante mkuu
Me napenda mtu awe mwelewa mkuu siyo nakwambia hali halisi unakuwa huelewi,,, unakuwa king'ang'anizi inaboa aisee....yaani kaka yangu alinionaje sijui,,, hapo Nina mchumba kila mtu nyumbani anamfahamu,, halafu ghafla kaka anaambiwa eti nina mpenzi mwingine.
Kuna wanaume huwa hawajielewi mkuu..kuna huyo mmoja kipindi Fulani alinitokea nikamkataa yaani hata contacts zangu sijui alipata wapi,,, nilivyoona anakera halafu siyo mwelewa nikawa akipiga simu sipokei,,, akituma sms sijibu ,,,, kipindi hicho Mimi nilikuwa na mchumba tayari.... akaenda kwa kaka yangu eti anamuita shemeji halafu anamwambia mbona Mtoto wa Baba hapatikani? Alinikera sana yule fala, alinifanya nimtukane na mazoea yakakoma.
Kuna mwingine alijikuta nimemla juzi bila kutongoza.Umesahau sisi ambao huwa hatukutongozi ila unajikuta tu ushaliwa.
Mtu mzima hatongozwi anapapaswa tu!Kuna mmoja nilienda kusalimia kwake nikachelewa kurud ikabid nilale kwake ilipofika asubuh nikashangaa tunagegedana sijui hata alinitongoza saa ngapi?
Siwezi kukimbia ila haraka huwa napuuza upuuzi.Kakimbia hata kuja kujibu hakurudi tena
Mtu mzima hatongozwi anapapaswa tu!
Sasa umeshindwa kujibu swali dogo vile unaita upuuzi, we wa Dodoma nini rafiki?Siwezi kukimbia ila haraka huwa napuuza upuuzi.
Hilo swali sijaliona jamani linauliza nini?Sasa umeshindwa kujibu swali dogo vile unaita upuuzi, we wa Dodoma nini rafiki?
Rudi kwenye quotes zangu! Pale tulipoishia kabla hujaondoka kuna hilo swaliHilo swali sijaliona jamani linauliza nini?
Hili swali nimeshajibuOngelea ukweli tu just be real with yourself, chukulia mwenye gari ni mtu kama January Makamba na ZeroIQ ni mtu kama MB Dogg utamchagua nani!
Niliuliza la kwanza Ulijibu kwa generally ndio maana nikakupa hili ili unipe precise answer na. Just to get the specific answer! Make a choice btn the two partiesHili swali nimeshajibu
Uongo wa kizamani huu eti mzungu kumtongoza una mwambia i love you kashakuelewa . Jaribu uone.Hapa ndipo nafika nawapa credit wazungu kuliko weusi. Maana wale ujimpiga chicho mara kadhaa tayari ameisha kuelewa unataka nini.
Kwa lodge wanaendaga kufanya nini?,kuitwa lodge ndio kutongozwa hivyo[emoji4]Kwa hiyo bora uniambie njoo lodge bila kunitongoza
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Kwa lodge wanaendaga kufanya nini?,kuitwa lodge ndio kutongozwa hivyo[emoji4]