Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Ahsante mkuu
Me napenda mtu awe mwelewa mkuu siyo nakwambia hali halisi unakuwa huelewi,,, unakuwa king'ang'anizi inaboa aisee....yaani kaka yangu alinionaje sijui,,, hapo Nina mchumba kila mtu nyumbani anamfahamu,, halafu ghafla kaka anaambiwa eti nina mpenzi mwingine.
Duh hapo lazima uchanganyikiwe aisee,,,,