Kuna wanaume wanatongoza vibaya! Kero mpaka vituko

Kuna wanaume wanatongoza vibaya! Kero mpaka vituko

Yani tulikuwa marafiki story ndani zimenoga kucheki saa imeenda yani nitoke Airport mpaka chanika haikuwa rahisi ikabidi nilale. Ndo ikawa hivyo
Wewe uko vizuri acha wanaosubiri aanze kuimbiwa njiwaaa. Kitu umeikuta tu hapo hukununua gharama ya kusafisha hata mia haizidi kwa sabuni ya magadi , ukiona muelekeo sio utoe
 
Ukiona unatongozwa tongozwa sana ujue wanaume tumeshahadithiana kuwa unaachia kwa wepesi!
 
Wanaume wengine bwana,akianza kukutongoza au njia ambazo wanatumia kukutongoza ni vituko,huwa nabaki kushangaa kwa ukweli

Angalia hapa

1,Huyu yeye anakuomba namba, unampa,yeye anakuwa anakutumia pesa, hata bila kuomba unashtukia tu imethibitishwa,ukiuliza anakwambia nimekutumia tu,basi baada ya siku kadhaa anakwambia,nina hamu na wewe tukutane wapi ,au njoo Lodge Fulani au yaani hapo anataka gemu tu,unafikiria huyu mwanaume amenitongoza lini,D.D.D.D.D

2,Huyu mnakutana mnabadilishana namba,mnakuwa mnapiga stories za kawaida tu,siku moja anakuomba uende kwake kumsalimia,kufika anataka penzi,sasa unajiuliza umenitongoza lini yaani nachekaga wanaume wana mambo

3,Huyu yeye anaanza kukuita baby,sweet,love,mpenz,hata hajakutongoza,mwisho wa siku utakwambia njoo lodge fulani,unashangaa sasa huyu amenitongoza lini?

4,Huyu yeye anakutongoza na misifa juu,mara ajipigishe simu,anaulizia miradi,mara anauliza kuhusu gari lake ,hahahahaha,hapo anataka usikie alivyonavyo umkubalie mapema

5,Huyu yeye anakupenda,sijui anaogopa kukutongoza, anapenda sana kampani,kusindikizana njiani,baada ya siku kadhaa utasikia anawambia watu huyo ni dem wangu nilishakula zamani,hahahahaha yaani wanaume wanavituko jamani

Ongezea zingine.......
Maendeleo hayana chama
 
Sema na wewe dada unafeli. Mpaka mtu mmeanza mazoea na kubadilishana hadi namba kuna jipya gani ambalo hujaelewa hapo? Au ndio unabalehe?

Kingine mfano huyo wa miamala anakutumia wewe unakula tu hela unategemea kuwa anatoa sadaka au?

Jiongeze wewe ndio tatizo na sio wanaume wanaokutaka.
Hujawai niangusha mwana hata kidogo.
Kamata Konyagi hapo Triple A nalipia.
 
madem wa bongo bhn... sasa kama kuna njia unayoona ndio sahihi ya wewe kutongozwa kwa nini usimsaidie anaejaribu kukutongoza kuliko kumsubiria afanye makosa...very immature.
 
Kuna mmoja bana ninaweka ela mpesa kupitia yeye ana ofisi ya mpesa.

Basi ile tu kuchukua namba kwa ajili ya biashara, jioni kaomba nikamnunulie robo nyama.

Kwa kuwa nina njaa nikanunua kilo tukala wote hapa hapo mjini karibu na kazi.

Mpaka sijawahi kumtongoza lakini nilishamla mwaka sasa kila wiki nagegeda mara tatu au nne.
 
Kutongoza ni kupoteza muda siku hizi, hadi ukubaliwe kuna wahuni washakuja na hizo trick na unakuta washakula mara kibao kipindi wewe unasubiri jibu lako kifala fala. siku hzi hata kwa juisi ya muwa tu unakulla papuchi
 
Wewe mtongozo unauchukuliaje? unajua lugha ya miili yenu ni mtongozo tosha na wengi sana wamefanikiwa, yale mambo ya kuambiana huja badae tena baada ya siku kadhaa

Jiulize watu wanasafiri pamoja baada ya kukutana kwenye siti lakini mwishoni hugegedana hawa unawaweka kundi gani hahaha!
 
madem wa bongo bhn... sasa kama kuna njia unayoona ndio sahihi ya wewe kutongozwa kwa nini usimsaidie anaejaribu kukutongoza kuliko kumsubiria afanye makosa...very immature.
Hahahahaha, nimecheka kwa sauti
 
Back
Top Bottom