Kuna wanaume wanatongoza vibaya! Kero mpaka vituko

Kuna wanaume wanatongoza vibaya! Kero mpaka vituko

Wanaume wengine bwana,akianza kukutongoza au njia ambazo wanatumia kukutongoza ni vituko,huwa nabaki kushangaa kwa ukweli

Angalia hapa

1,Huyu yeye anakuomba namba, unampa,yeye anakuwa anakutumia pesa, hata bila kuomba unashtukia tu imethibitishwa,ukiuliza anakwambia nimekutumia tu,basi baada ya siku kadhaa anakwambia,nina hamu na wewe tukutane wapi ,au njoo Lodge Fulani au yaani hapo anataka gemu tu,unafikiria huyu mwanaume amenitongoza lini,D.D.D.D.D

2,Huyu mnakutana mnabadilishana namba,mnakuwa mnapiga stories za kawaida tu,siku moja anakuomba uende kwake kumsalimia,kufika anataka penzi,sasa unajiuliza umenitongoza lini yaani nachekaga wanaume wana mambo

3,Huyu yeye anaanza kukuita baby,sweet,love,mpenz,hata hajakutongoza,mwisho wa siku utakwambia njoo lodge fulani,unashangaa sasa huyu amenitongoza lini?

4,Huyu yeye anakutongoza na misifa juu,mara ajipigishe simu,anaulizia miradi,mara anauliza kuhusu gari lake ,hahahahaha,hapo anataka usikie alivyonavyo umkubalie mapema

5,Huyu yeye anakupenda,sijui anaogopa kukutongoza, anapenda sana kampani,kusindikizana njiani,baada ya siku kadhaa utasikia anawambia watu huyo ni dem wangu nilishakula zamani,hahahahaha yaani wanaume wanavituko jamani

Ongezea zingine.......
Siku hizi HATU YONGOZI, tuna vuta TU,
Una liwa na biashara ina ishia hapoo
 
Ubakaji huo sasa,tongoza mpaka mwanamke akubali kuwa,aridhie kukuzawadia penzi,kubakana huko umeenjoy nini sasa
Kwa kujikuta special sasa [emoji23][emoji23][emoji23]
Eti mwanamke akikupa ndio kakuzawadia
 
Ugumu gani??? Mbona sisi huwa tuna wapa majibu ya hapo kwa hapo
Ungemjibu tu mfano Dada umekomaa mno sikuwezi basi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Kuna mmoja nilienda kusalimia kwake nikachelewa kurud ikabid nilale kwake ilipofika asubuh nikashangaa tunagegedana sijui hata alinitongoza saa ngapi?
Hata hivyo alikustahi sana yaani usiku kucha anakuja kula mzigo asubuhi?
 
wanawake bana........kwa mbinu hizo kuna wengine wanaikingia kwenywe 18.....na mzigo unapigwa kibingwaa....
 
Wanaume wengine bwana,akianza kukutongoza au njia ambazo wanatumia kukutongoza ni vituko,huwa nabaki kushangaa kwa ukweli

Angalia hapa

1,Huyu yeye anakuomba namba, unampa,yeye anakuwa anakutumia pesa, hata bila kuomba unashtukia tu imethibitishwa,ukiuliza anakwambia nimekutumia tu,basi baada ya siku kadhaa anakwambia,nina hamu na wewe tukutane wapi ,au njoo Lodge Fulani au yaani hapo anataka gemu tu,unafikiria huyu mwanaume amenitongoza lini,D.D.D.D.D

2,Huyu mnakutana mnabadilishana namba,mnakuwa mnapiga stories za kawaida tu,siku moja anakuomba uende kwake kumsalimia,kufika anataka penzi,sasa unajiuliza umenitongoza lini yaani nachekaga wanaume wana mambo

3,Huyu yeye anaanza kukuita baby,sweet,love,mpenz,hata hajakutongoza,mwisho wa siku utakwambia njoo lodge fulani,unashangaa sasa huyu amenitongoza lini?

4,Huyu yeye anakutongoza na misifa juu,mara ajipigishe simu,anaulizia miradi,mara anauliza kuhusu gari lake ,hahahahaha,hapo anataka usikie alivyonavyo umkubalie mapema

5,Huyu yeye anakupenda,sijui anaogopa kukutongoza, anapenda sana kampani,kusindikizana njiani,baada ya siku kadhaa utasikia anawambia watu huyo ni dem wangu nilishakula zamani,hahahahaha yaani wanaume wanavituko jamani

Ongezea zingine.......
mi hujaniweka mi nkikutaka nakwambia hapoahapo yaan sikwepeshi............................
 
Kutongoza is overrated...mnaopendana kuna vijimaneno mkiambiana tu basi reaction inakuwa positive na wala huitaji kuandika gazeti au kusoma taarifa ya habari...

Mathalani "I think i like you", "Can we be more than just friends" etc
 
HATUHITAJI KUWATONGOZA, MAVAZI YENU NA NJAA ZENU ZINAONYESHA KABISA MLIVYO MALAYA.
MNASHINDIA KUVAA VISURUARI VYA KUBANA, MARA SIJUI VISKIN TIGHT, MARA MNATUACHIA MATITI NJE, KUJICHEKESHA NA KUOMBA VOCHA PAMOJA NA OUTING HAZIISHI.
MALIPO YENU NI KUWAGEGEDA, KUWAPA MIMBA AU UKIMWI, MTULELE HAO WATOTO HUKU MKIITWA NA KUJIITA SINGLE MOTHERS, WAKIKUA TUTAKUJA KUWACHUKUA WATOTO WETU!.
I hope hii sala inawaingiza na ndugu zako wote wa kike mkuu .
Hongera unahitaji tuzo
 
😂😂😂😂 lakini si anakula Mchongo tuache na mbinu zetu ......... .........over
 
Kutongoza is overrated...mnaopendana kuna vijimaneno mkiambiana tu basi reaction inakuwa positive na wala huitaji kuandika gazeti au kusoma taarifa ya habari...

Mathalani "I think i like you", "Can we be more than just friends" etc
Kweli kabisa! 👍
 
Hata hivyo alikustahi sana yaani usiku kucha anakuja kula mzigo asubuhi?
Demiss ni kiboko huenda ile kuingia kitandani hahesabu, labda kilevi cha Wine ya zabibu pale Hombolo inakata mpaka mawasiliano sembse mtandao. Kufika asubuhi ndipo akatoa ushirikiano ndio maana kahesabu cha alfajiri
 
Yupo humu jamiiforum aje ajione hapaaa
wewe Mdada ni kiboko utaacha watu wagongane nyumbani kwako kwani nimefungua hizo Like 93 ni vidume vya mbegu tu na nyingi kuliko mleta Mada
 
Wanaume wengine bwana,akianza kukutongoza au njia ambazo wanatumia kukutongoza ni vituko,huwa nabaki kushangaa kwa ukweli

Angalia hapa

1,Huyu yeye anakuomba namba, unampa,yeye anakuwa anakutumia pesa, hata bila kuomba unashtukia tu imethibitishwa,ukiuliza anakwambia nimekutumia tu,basi baada ya siku kadhaa anakwambia,nina hamu na wewe tukutane wapi ,au njoo Lodge Fulani au yaani hapo anataka gemu tu,unafikiria huyu mwanaume amenitongoza lini,D.D.D.D.D

2,Huyu mnakutana mnabadilishana namba,mnakuwa mnapiga stories za kawaida tu,siku moja anakuomba uende kwake kumsalimia,kufika anataka penzi,sasa unajiuliza umenitongoza lini yaani nachekaga wanaume wana mambo

3,Huyu yeye anaanza kukuita baby,sweet,love,mpenz,hata hajakutongoza,mwisho wa siku utakwambia njoo lodge fulani,unashangaa sasa huyu amenitongoza lini?

4,Huyu yeye anakutongoza na misifa juu,mara ajipigishe simu,anaulizia miradi,mara anauliza kuhusu gari lake ,hahahahaha,hapo anataka usikie alivyonavyo umkubalie mapema

5,Huyu yeye anakupenda,sijui anaogopa kukutongoza, anapenda sana kampani,kusindikizana njiani,baada ya siku kadhaa utasikia anawambia watu huyo ni dem wangu nilishakula zamani,hahahahaha yaani wanaume wanavituko jamani

Ongezea zingine.......
Mbobezi
 
Back
Top Bottom