Kuna wanaume wanatongoza vibaya! Kero mpaka vituko

Unasubiri kuambiwa nakupenda hahaha Nani Ana MDA Huo????wa kumwambia nakupenda mwanamke ambaye humpendi bali unamtamani kingono?????

Mimi na umri huu wanawake niliowaambia nawapenda hawazidi watano na Kati ya hao watano watatu nilikuwa na mahusiano nao ya kudumu lakini idadi ya wanawake niliolala nae Ni zaidi ya 30...

Najaribu kukupa picha tu kwamba mtongozaji mzuri anatumia mbinu namba mbili kwa uzoefu wa hali ya juu kupata Mwanamke wa kupotezea mda ila atawaambia wanawake wachache sana nakupenda tena itatoka moyoni..

Of course kuna wanaume hawajui kutongoza wanadhani pesa ndo kila kitu lakini ukimkuta fundi wa kutumia hiyo namba mbili utatombw* vzr tu utake usitake.
 
Nashkuru njia yangu haipo hapo,,

Haijawai niangusha,,

Mwendo both team to score "GG"

Code: mpira mfukoni umejishindia
 
Kuna mmoja nilienda kusalimia kwake nikachelewa kurud ikabid nilale kwake ilipofika asubuh nikashangaa tunagegedana sijui hata alinitongoza saa ngapi?
Safi saana Demiss,mambo yanakuja automatic,watu wengine sijui wanataka tuwatongozeje,[emoji3]
 
Kuna mmoja nilienda kusalimia kwake nikachelewa kurud ikabid nilale kwake ilipofika asubuh nikashangaa tunagegedana sijui hata alinitongoza saa ngapi?
Aaaah mbuzi kafia kwa muuza supu
 
Muda mwingine utoe msaada namna ya wanawake wengi wanavyopenda tongozo liweje?

Mm sipend kutongoza mwanamke afu aniyumbishe sana, akija kukubali siwez kudumu nae.
Yaani wewe na Mimi tunafanana.. Yaani demu nimtongoze anizungushe weee basi akikubali namtia mpini wa kutosha na namuacha kabisa.. huwa naamini katika mapenzi tangia siku ya kwanza au majuma mawili ya kwanza.. nikipata usumbufu nagonga nasepa zangu na hanioni tena..
 
UKIMUONA DEMU UNAYE MPENDA TU WEWE LIA SANA KIUKWELIKWELI

JIGARAGAZE CHINI. ATASHANGAA THEN ATAKUONEA HURUMA.

ATAKUJA KUKUULIZA KULIKONI. HAPO SASA MSIFIE SANA

ANA HURUMA AMBAYO HAIPO HAPA DUNIANI, HUJUI CHA KUMLIPA

TANGU AKUSAIDIE MAMBO SWAFI,
KWA HIYO TUUNGANISHE VIKOJOLEO, KWA KURENGANA
 
Hii thread haijanibariki... ngoja niende zangu jukwaa la wakubwa
 
Wanawake nao hamjui kutongoza wanaume;


1-eti anapiga makofi,panua panua miguu, kujipitisha, mara anaomba hela

2- mara nifanyie mpango wa nauli

3- mara sina vouher

4- shangazi anaumwa Morogoro

5- mara naomba finyango mbili za nyama mwanangu hataki maharage,

6 Mume wangu hajarudi ana funguo naomba kupumzika hapa kwako lakini usinifanye.

7-Una roho nzuriii

8-kwa visichana sasa mie sijui watu wanatombwaje nionyeshe basi
 
Aiseee Sikumbuki Mara ya mwisho kutongoza ilikua lini..

Kwanza wanawake wenyewe wa wakuwatongoza Wapo miaka Hii kweli?
Me sijaona
 
Hebu nipe demu mmoja anayesikilizaga tena ngonjera siku hizi. Zamani tulidanganyana ati; Sijalala tangu nimekuona pale msibani kwa mjombako. Miaka ishapita 2. Wewe demu unajibu, mimi sijala tangu siku hiyo. Tiyari mshakubaliana hapo. Leo nenda na ngonjera hizo kama hata salam yako itapokelewa.
Nenda na mkoko wako, timua vumbi nyingi mwambie tu, niko guest flan tiyari unamwona. Hamjui hela ina language flan inakusemea weye mwenye nazo?
With a thick wallet, yu can will all the girls in town. Asikudanganye mtu ati wajua nimeolewa, wajua nina bf mkali. Mbele ya wallet na mkoko hakuna mwanamke mbishi wala anayeshangaa ujio wako kwa maisha yake.
Every woman huyeyuka mbele ya wallet. Bisha tuone
 
Mkuu wanawake wanatongoza kama kawaida, inabidi tu umsikilize lkn ndo hakuna namna unampa support ya kumrahisishia mazungumzo yake kwamba its ok, its ok. Then unambadilishia mazungumzo kwa kumsifia sifia kdg ili asiji-feel sad. Tena unaweza kusema kutongoza kuna mfanya awe na maumivu zaidi kwa boy wake kama vile wanaume wanavyoji-feel mwanamke uliemtongoza kwa juhudi akawa anakuzingua.

Just be a smart boy, with a polite language, looking nice, biz na kazi zako na kama unatumia mitandao ya kijamii (insta + fb) wanakutext kueleza hisia zao.

NB: wanawake ni rahisi kwao kumtongoza mwanaume ambae yupo smart kwa kupitia text/msg.

Mfano: "(my brother alinambia)"
-Wanaanza kukuomba namba ya Whatsapp
-Baadae anakutumia picha zake umsifie sifie.
-Baadae wifi hajambo, wewe kaka mzuri
-lini unakuja kwetu, nataka ukate kiu yangu
-Naomba nizae mtoto na wewe nitalea mwenyewe
-Basi anajisifia sifia tu, alivyo mpole, tabia njema, upendo wa dhati, muaminifu etc
 
Kumbe ukiweka mazoea na jinsia tofauti mixer kuomba/kutoa namba unakuwa umehalalisha kutongozwa?
Mimi sio ndugu yako, wala hatufanyi kazi pamoja wala biashara pamoja. Tumekutana tu tukafahamiana na kubadilishana namba.

Automatically wewe ulieombwa namba inatakiwa ujiongeze kuwa tayari mtu ashamind flag. Kama kunaeleweka mnaendelea hapo hainaga hata haja ya kutongozana maana tayari iko wazi.

Kama hakueleweki zingua zingua mtu ajikate zake alolo maisha yaendelee.

Iko wazi sana hiyo asee sema labda kwa watoto wadogo ambao hawayajui haya mambo ndio shida inakuwepo kuanza story za sungura na fisi.
 
Kwani, kutongoza ni kufanya nini/unatakiwa ufanye nini ili uonekane umetongoza?
 

Nimekupata sana chaliifrancisco
 
kidigital utongozw ukishaambiwa njoo sehem flan unajua kinachofuata n nin uko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…