ni ngumu
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 4,292
- 7,197
Unasubiri kuambiwa nakupenda hahaha Nani Ana MDA Huo????wa kumwambia nakupenda mwanamke ambaye humpendi bali unamtamani kingono?????
Mimi na umri huu wanawake niliowaambia nawapenda hawazidi watano na Kati ya hao watano watatu nilikuwa na mahusiano nao ya kudumu lakini idadi ya wanawake niliolala nae Ni zaidi ya 30...
Najaribu kukupa picha tu kwamba mtongozaji mzuri anatumia mbinu namba mbili kwa uzoefu wa hali ya juu kupata Mwanamke wa kupotezea mda ila atawaambia wanawake wachache sana nakupenda tena itatoka moyoni..
Of course kuna wanaume hawajui kutongoza wanadhani pesa ndo kila kitu lakini ukimkuta fundi wa kutumia hiyo namba mbili utatombw* vzr tu utake usitake.
Mimi na umri huu wanawake niliowaambia nawapenda hawazidi watano na Kati ya hao watano watatu nilikuwa na mahusiano nao ya kudumu lakini idadi ya wanawake niliolala nae Ni zaidi ya 30...
Najaribu kukupa picha tu kwamba mtongozaji mzuri anatumia mbinu namba mbili kwa uzoefu wa hali ya juu kupata Mwanamke wa kupotezea mda ila atawaambia wanawake wachache sana nakupenda tena itatoka moyoni..
Of course kuna wanaume hawajui kutongoza wanadhani pesa ndo kila kitu lakini ukimkuta fundi wa kutumia hiyo namba mbili utatombw* vzr tu utake usitake.