Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Hailiki kwa kuonekana tu, nitakukula wewe?Italika vizuri dada najua ulikua umenimiss sana sasa una amani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hailiki kwa kuonekana tu, nitakukula wewe?Italika vizuri dada najua ulikua umenimiss sana sasa una amani
Sijawahi kutongoza na naamini sijui kutongozaWanaume wengine bwana,akianza kukutongoza au njia ambazo wanatumia kukutongoza ni vituko,huwa nabaki kushangaa kwa ukweli
Angalia hapa
1,Huyu yeye anakuomba namba, unampa,yeye anakuwa anakutumia pesa, hata bila kuomba unashtukia tu imethibitishwa,ukiuliza anakwambia nimekutumia tu,basi baada ya siku kadhaa anakwambia,nina hamu na wewe tukutane wapi ,au njoo Lodge Fulani au yaani hapo anataka gemu tu,unafikiria huyu mwanaume amenitongoza lini,D.D.D.D.D
2,Huyu mnakutana mnabadilishana namba,mnakuwa mnapiga stories za kawaida tu,siku moja anakuomba uende kwake kumsalimia,kufika anataka penzi,sasa unajiuliza umenitongoza lini yaani nachekaga wanaume wana mambo
3,Huyu yeye anaanza kukuita baby,sweet,love,mpenz,hata hajakutongoza,mwisho wa siku utakwambia njoo lodge fulani,unashangaa sasa huyu amenitongoza lini?
4,Huyu yeye anakutongoza na misifa juu,mara ajipigishe simu,anaulizia miradi,mara anauliza kuhusu gari lake ,hahahahaha,hapo anataka usikie alivyonavyo umkubalie mapema
5,Huyu yeye anakupenda,sijui anaogopa kukutongoza, anapenda sana kampani,kusindikizana njiani,baada ya siku kadhaa utasikia anawambia watu huyo ni dem wangu nilishakula zamani,hahahahaha yaani wanaume wanavituko jamani
Ongezea zingine.......
Hii ni kawaida sana mbona....huwezi zuia nyege hapoKuna mmoja nilienda kusalimia kwake nikachelewa kurud ikabid nilale kwake ilipofika asubuh nikashangaa tunagegedana sijui hata alinitongoza saa ngapi?
Hata ukinikula sio mbaya dada. Kama utaridhika sawa [emoji23][emoji23][emoji23]Hailiki kwa kuonekana tu, nitakukula wewe?
[emoji23][emoji23][emoji23] wee kwenda zako kajitu hata kiganjani hujai sitashibaHata ukinikula sio mbaya dada. Kama utaridhika sawa [emoji23][emoji23][emoji23]
Itakuwa Una miaka 17 maliza Kwanza shuleWanaume wengine bwana,akianza kukutongoza au njia ambazo wanatumia kukutongoza ni vituko,huwa nabaki kushangaa kwa ukweli
Angalia hapa
1,Huyu yeye anakuomba namba, unampa,yeye anakuwa anakutumia pesa, hata bila kuomba unashtukia tu imethibitishwa,ukiuliza anakwambia nimekutumia tu,basi baada ya siku kadhaa anakwambia,nina hamu na wewe tukutane wapi ,au njoo Lodge Fulani au yaani hapo anataka gemu tu,unafikiria huyu mwanaume amenitongoza lini,D.D.D.D.D
2,Huyu mnakutana mnabadilishana namba,mnakuwa mnapiga stories za kawaida tu,siku moja anakuomba uende kwake kumsalimia,kufika anataka penzi,sasa unajiuliza umenitongoza lini yaani nachekaga wanaume wana mambo
3,Huyu yeye anaanza kukuita baby,sweet,love,mpenz,hata hajakutongoza,mwisho wa siku utakwambia njoo lodge fulani,unashangaa sasa huyu amenitongoza lini?
4,Huyu yeye anakutongoza na misifa juu,mara ajipigishe simu,anaulizia miradi,mara anauliza kuhusu gari lake ,hahahahaha,hapo anataka usikie alivyonavyo umkubalie mapema
5,Huyu yeye anakupenda,sijui anaogopa kukutongoza, anapenda sana kampani,kusindikizana njiani,baada ya siku kadhaa utasikia anawambia watu huyo ni dem wangu nilishakula zamani,hahahahaha yaani wanaume wanavituko jamani
Ongezea zingine.......
Haukuleta utaratibu wa sitaki nataka kumpima ubavu wake wa kusaka papuchi?Kuna mmoja nilienda kusalimia kwake nikachelewa kurud ikabid nilale kwake ilipofika asubuh nikashangaa tunagegedana sijui hata alinitongoza saa ngapi?
Ajieleze sio kirahisi rahisi tu.Hebu tusaidie ulitaka afungukeje
Sawa kabisa mkuuMkuu wanawake wanatongoza kama kawaida, inabidi tu umsikilize lkn ndo hakuna namna unampa support ya kumrahisishia mazungumzo yake kwamba its ok, its ok. Then unambadilishia mazungumzo kwa kumsifia sifia kdg ili asiji-feel sad. Tena unaweza kusema kutongoza kuna mfanya awe na maumivu zaidi kwa boy wake kama vile wanaume wanavyoji-feel mwanamke uliemtongoza kwa juhudi akawa anakuzingua.
Just be a smart boy, with a polite language, looking nice, biz na kazi zako na kama unatumia mitandao ya kijamii (insta + fb) wanakutext kueleza hisia zao.
NB: wanawake ni rahisi kwao kumtongoza mwanaume ambae yupo smart kwa kupitia text/msg.
Mfano: "(my brother alinambia)"
-Wanaanza kukuomba namba ya Whatsapp
-Baadae anakutumia picha zake umsifie sifie.
-Baadae wifi hajambo, wewe kaka mzuri
-lini unakuja kwetu, nataka ukate kiu yangu
-Naomba nizae mtoto na wewe nitalea mwenyewe
-Basi anajisifia sifia tu, alivyo mpole, tabia njema, upendo wa dhati, muaminifu etc
Hii comment nzuri kuliko post [emoji39]Kuna mmoja nilienda kusalimia kwake nikachelewa kurud ikabid nilale kwake ilipofika asubuh nikashangaa tunagegedana sijui hata alinitongoza saa ngapi?
Kama ni dar hakuna sehemu utakayoenda useme umechelewa kurudi kwasababu usafiri upo mda wote otherwise na wewe ulikuwa unataka enheeeee! Hebu tuambie mlirudia tena au mliishia hiyo mara moja?Kuna mmoja nilienda kusalimia kwake nikachelewa kurud ikabid nilale kwake ilipofika asubuh nikashangaa tunagegedana sijui hata alinitongoza saa ngapi?
HahahaaMama mambo ni mengi muda mchache, kutongoza tongoza kunarudisha maendeleo nyuma.
Wanawake mna wakati mgumu kwenye mahusiano hata ujisemeleshe vipi,utaona kila aina ya utongozaji ni sawa maana kila mtu ana akili yake lakini hao wote na hivyo vituko huna namna ya kuwakataa wala kujifanya wewe ndo mjanja maana mfanye yote tutabaki kua juu,mmekua wengi zaidi ya mala tatu yetu wanaume,sisi wenyewe tunaijua hali yenu na madhaifu ila tuna mioyo mikuu tunanyamazaWanaume wengine bwana,akianza kukutongoza au njia ambazo wanatumia kukutongoza ni vituko,huwa nabaki kushangaa kwa ukweli
Angalia hapa
1,Huyu yeye anakuomba namba, unampa,yeye anakuwa anakutumia pesa, hata bila kuomba unashtukia tu imethibitishwa,ukiuliza anakwambia nimekutumia tu,basi baada ya siku kadhaa anakwambia,nina hamu na wewe tukutane wapi ,au njoo Lodge Fulani au yaani hapo anataka gemu tu,unafikiria huyu mwanaume amenitongoza lini,D.D.D.D.D
2,Huyu mnakutana mnabadilishana namba,mnakuwa mnapiga stories za kawaida tu,siku moja anakuomba uende kwake kumsalimia,kufika anataka penzi,sasa unajiuliza umenitongoza lini yaani nachekaga wanaume wana mambo
3,Huyu yeye anaanza kukuita baby,sweet,love,mpenz,hata hajakutongoza,mwisho wa siku utakwambia njoo lodge fulani,unashangaa sasa huyu amenitongoza lini?
4,Huyu yeye anakutongoza na misifa juu,mara ajipigishe simu,anaulizia miradi,mara anauliza kuhusu gari lake ,hahahahaha,hapo anataka usikie alivyonavyo umkubalie mapema
5,Huyu yeye anakupenda,sijui anaogopa kukutongoza, anapenda sana kampani,kusindikizana njiani,baada ya siku kadhaa utasikia anawambia watu huyo ni dem wangu nilishakula zamani,hahahahaha yaani wanaume wanavituko jamani
Ongezea zingine.......