Kuna wanaume wanatongoza vibaya! Kero mpaka vituko

Kuna wanaume wanatongoza vibaya! Kero mpaka vituko

Hahahahaha, yaani hivyo tu umetongozwa,anashindwa nini kuongea kiini?
Kiini ni kipi unachotaka kusikia? Ama lile neno "Nakupenda" ili baada ya hapo uanze mbilinge mara "nina mtu wangu", "yani umeniona leo tu unanipenda mbona maajabu?"
 
HATUHITAJI KUWATONGOZA, MAVAZI YENU NA NJAA ZENU ZINAONYESHA KABISA MLIVYO MALAYA.
MNASHINDIA KUVAA VISURUARI VYA KUBANA, MARA SIJUI VISKIN TIGHT, MARA MNATUACHIA MATITI NJE, KUJICHEKESHA NA KUOMBA VOCHA PAMOJA NA OUTING HAZIISHI.
MALIPO YENU NI KUWAGEGEDA, KUWAPA MIMBA AU UKIMWI, MTULELE HAO WATOTO HUKU MKIITWA NA KUJIITA SINGLE MOTHERS, WAKIKUA TUTAKUJA KUWACHUKUA WATOTO WETU!.
😂mi simo!
 
Konki Liquid atabaki kua mawinguni..naendelea kusanifu coments zenu
 
Hahaha hii atakuanika part 2
Tatzo ukijibebisha sana wanakuona zezeta, sasa ni mwendo wa live bila chenga kujibebisha ni kitandani sio kwenye mtongozo.

Raha tupate wote alaf mm ndo niwe mliaji liaji kuomba nikupe raha?
 
Mwanamke ukiona madhaifu yote hayo kwa mwanaume ujue roho yako haijampenda...hivyo unakua unataka mtu aongee sana ili upate influence au kitu cha kumpendea.....
Aisee mwanamke akikupenda hutumii nguvu kabisa..hivi hujawahi kuona watu wanakutana siku ya kwanza tena bahati mbaya...wanaangaliana tu na hapohapo wanapendana.....hahahaha......
Mwanamke alievutiwa na wewe huwa anatengeneza mazingira ambayo mwanaume yoyote ataelewa tu.....yaani hata bila kudanganyana maneno mengi.....Yaani unaweza msichana akakukubali kirahisi mpaka ukaona muujiza manake wakati huohuo anawachinjia mbali watu ambao ulihisi wako mbele yako kimaendeleo miaka kumi....

Wanawake wengi wanaosumbua, wanaotaka mtongozo mrefu, waambiwe maneno mengi..nahisi wengi wanakua Sio mahusiano ya kwanza au ya pili,Waliishatendwa na watu ambao waliwaamini hivyo Wanakuwa waoga kukubali kirahisirshisi sababu ya kutaka uhakika na kuogopa kuumizwa....

ALL IN ALL mapenzi hayana formula

Wanawake wengi wajanja wanajiongeza mapema, sikujui hunijui nakuomba namba unadhani nataka nini?maana yake nimekuelewa kama hujanielewa usinipe namba yako tunaishia hapo

Huyu niliyenae sijawahi kumtongoza kwa maneno mengi tulikutana mahali ninapiga tungi akaja na rafiki yake, nikamuelewa nikaomba namba, kesho yake nimemcheki kaniuliza niko wapi tukaarrange kukutana jioni, tumefahamiana hiyo siku maongezi ya kawaida tuu, siku ya tatu vikojoleo viko kazini
 
kuna dem juz nmemla bila kumtongoza nilichomwambia nataka tuonane alipofka akapelekwa geto akaliwa mzgo na namba yangu kama kawaida
 
Wanaume wengine bwana,akianza kukutongoza au njia ambazo wanatumia kukutongoza ni vituko,huwa nabaki kushangaa kwa ukweli

Angalia hapa

1,Huyu yeye anakuomba namba, unampa,yeye anakuwa anakutumia pesa, hata bila kuomba unashtukia tu imethibitishwa,ukiuliza anakwambia nimekutumia tu,basi baada ya siku kadhaa anakwambia,nina hamu na wewe tukutane wapi ,au njoo Lodge Fulani au yaani hapo anataka gemu tu,unafikiria huyu mwanaume amenitongoza lini,D.D.D.D.D

2,Huyu mnakutana mnabadilishana namba,mnakuwa mnapiga stories za kawaida tu,siku moja anakuomba uende kwake kumsalimia,kufika anataka penzi,sasa unajiuliza umenitongoza lini yaani nachekaga wanaume wana mambo

3,Huyu yeye anaanza kukuita baby,sweet,love,mpenz,hata hajakutongoza,mwisho wa siku utakwambia njoo lodge fulani,unashangaa sasa huyu amenitongoza lini?

4,Huyu yeye anakutongoza na misifa juu,mara ajipigishe simu,anaulizia miradi,mara anauliza kuhusu gari lake ,hahahahaha,hapo anataka usikie alivyonavyo umkubalie mapema

5,Huyu yeye anakupenda,sijui anaogopa kukutongoza, anapenda sana kampani,kusindikizana njiani,baada ya siku kadhaa utasikia anawambia watu huyo ni dem wangu nilishakula zamani,hahahahaha yaani wanaume wanavituko jamani

Ongezea zingine.......
Siku Hizi wanawake wamejaa Facebook. Chat messenger Kwa mda then mwite mpenzi, my , au unaomba mzigo moja Kwa moja. Baada ya message unasubiria reaction. 90% ya reaction zao huwa wanakubali bila shida Simplest method. Facebook imerahisisha mambo ya kutongoza
 
Nilichosema ni ukweli mtupu.
Kweli kabisa wanaume sasa hivi hawatongozi sijui hawajiamini?
Sasa teknolojia imerahisisha mambo lazma tubadilike nayo. Ntataka kujua interests zako ntakuweka karibu nazo then kama ukijiongeza mnaanza penzi.
Ile ya kuanza kuimbishana na kuzungushana hailipi sikuhizi wakati kuna muhuni anaweza akwambia tu flani unajua nakuona long time sio siri upo sexy sana, nataka weekend moja nikakufanye ujiskie raha ya pekee ambayo hujawahi pata. Pls! Hapo muhuni kamaliza anakukazia macho tu unalegea utadema dema ila huchomoi.
Yani kutongoza hakuna formula kabisa, hasa mwanamke akiwa anakuelewa ndio inarahisisha,,,,unaweza hata mmbananisha kwenye kona ukapapasana nae ukamla chap! Au unamjulia julia hali tu after a while unamuita sehemu ya faragha tu kama anakuelewa hatobisha anajua unaenda kumla.
 
Nani kakwambia siku hizi tunatongozana watu wazima hawatongozani unasoma ramani zikikaa sawa unakula mzigo
 
Hebu nipe demu mmoja anayesikilizaga tena ngonjera siku hizi. Zamani tulidanganyana ati; Sijalala tangu nimekuona pale msibani kwa mjombako. Miaka ishapita 2. Wewe demu unajibu, mimi sijala tangu siku hiyo. Tiyari mshakubaliana hapo. Leo nenda na ngonjera hizo kama hata salam yako itapokelewa.
Nenda na mkoko wako, timua vumbi nyingi mwambie tu, niko guest flan tiyari unamwona. Hamjui hela ina language flan inakusemea weye mwenye nazo?
With a thick wallet, yu can will all the girls in town. Asikudanganye mtu ati wajua nimeolewa, wajua nina bf mkali. Mbele ya wallet na mkoko hakuna mwanamke mbishi wala anayeshangaa ujio wako kwa maisha yake.
Every woman huyeyuka mbele ya wallet. Bisha tuone
Mpenzi Khantwe hebu njoo mpe neno kidogo huyu.
 
Kutongoza ni sanaa, hivyo haiwezi kuwa na universal formula.
Cha msingi ni kwamba unapotongozwa na mwanaume unaempenda hata atumie njia gani huoni kama ni kero.
 
HATUHITAJI KUWATONGOZA, MAVAZI YENU NA NJAA ZENU ZINAONYESHA KABISA MLIVYO MALAYA.
MNASHINDIA KUVAA VISURUARI VYA KUBANA, MARA SIJUI VISKIN TIGHT, MARA MNATUACHIA MATITI NJE, KUJICHEKESHA NA KUOMBA VOCHA PAMOJA NA OUTING HAZIISHI.
MALIPO YENU NI KUWAGEGEDA, KUWAPA MIMBA AU UKIMWI, MTULELE HAO WATOTO HUKU MKIITWA NA KUJIITA SINGLE MOTHERS, WAKIKUA TUTAKUJA KUWACHUKUA WATOTO WETU!.
[emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa mkatili kishenzi
 
Mwanamke ukiona madhaifu yote hayo kwa mwanaume ujue roho yako haijampenda...hivyo unakua unataka mtu aongee sana ili upate influence au kitu cha kumpendea.....
Aisee mwanamke akikupenda hutumii nguvu kabisa..hivi hujawahi kuona watu wanakutana siku ya kwanza tena bahati mbaya...wanaangaliana tu na hapohapo wanapendana.....hahahaha......
Mwanamke alievutiwa na wewe huwa anatengeneza mazingira ambayo mwanaume yoyote ataelewa tu.....yaani hata bila kudanganyana maneno mengi.....Yaani unaweza msichana akakukubali kirahisi mpaka ukaona muujiza manake wakati huohuo anawachinjia mbali watu ambao ulihisi wako mbele yako kimaendeleo miaka kumi....
Wanawake wengi wanaosumbua, wanaotaka mtongozo mrefu, waambiwe maneno mengi..nahisi wengi wanakua Sio mahusiano ya kwanza au ya pili,Waliishatendwa na watu ambao waliwaamini hivyo Wanakuwa waoga kukubali kirahisirshisi sababu ya kutaka uhakika na kuogopa kuumizwa....
ALL IN ALL mapenzi hayana formula
Inshort ulichosema ni hakika kabisa, me current bebe wangu alianza kunipenda yeye akanipa greenlight nikawa nimemuelewa pia tukajikuta wapenzi. Hakukuwa na kutongozana. Sikuwa na chochote kusema cha kumrubuni alinipenda jinsi nilivyo tu na lifestyle yangu.

Mapenzi ya hivyo ndio naimani nayo zaidi kuliko mapenzi ya mie kumfata mwanamke na kuanza kumbembeleza hadi anielewe. Most of those relationship zinakuwaga na asili ya unafiki maana unaeza kubaliwa tu ila kimsingi hupendwi inapendwa hali yako.

Mwanamke anaezungusha sana kwenye kutongoza ama ku demand umtongoze na usumbufu mwingi anakuwa hajakupenda huyo na akikubali jua anakupumzikia tu. Akipata wakumpenda lazma akubwage kwa vitimbi.
 
Hahah huyo alikuwa zaidi ya kiboko, yani mwanamke unaanza kumbato tu baada ya kumshika. Huyo mtu anakujua vyema kweli au ndio beki 3 wenu?


Rafiki tu mtaani tukazoeana akiwa na nyegezi natia to the maximum na anatulia
 
Kuna mdada alikujaga saloon ya kiume,

Alimleta mtoto kunyoa, so wakati yule mtoto ananyoa mi nikawa naongea na uyo mdada

Hata sikumbuki nilimwambia nn muda huo nikamshika mkono nikaenda kujipigia na at sent sikumpa[emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],hi tuliipa jina la "formula ya ghafla" kwenye kikao chetu.
 
Kuna mdada alikujaga saloon ya kiume,

Alimleta mtoto kunyoa, so wakati yule mtoto ananyoa mi nikawa naongea na uyo mdada

Hata sikumbuki nilimwambia nn muda huo nikamshika mkono nikaenda kujipigia na at sent sikumpa[emoji3]
Eehe bhasi balaa[emoji119][emoji119][emoji119][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom