Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida sio kuichukia ila ukichukulia kama SI unit ya kumkubalia mtu au kumkatalia hapo ndio shida inapoanzia.Ukiongelea pesa hakuna anae ichukia hiyo pesa, haitoshi,na wala haijai
Kwahiyo nikimkataa mwanaume unadhani napenda pesa au nikimkubali basi nimependa pesa?Shida sio kuichukia ila ukichukulia kama SI unit ya kumkubalia mtu au kumkatalia hapo ndio shida inapoanzia.
Najua kuitafuta pia ndio uzuri ulipo.Hata wewe unaitamani hiyo pesa.
Mbona wanawake pia tunajua kuitafuta au unadhani wote wanahongwa?Najua kuitafuta pia ndio uzuri ulipo.
Kumbe wanaume nanyie hutongozwa ???
Anae tongoza huwa anashuka mistar ya aina gan????
Rate yako ya kuwakataa mwanaume wenye ngonjera nyingi ni kubwa kuliko rate ya kuwakubalia wenye chambi chambi! Hilo sidhani kama una la kubisha?Kwahiyo nikimkataa mwanaume unadhani napenda pesa au nikimkubali basi nimependa pesa?
Haya ni mawazo yako.Rate yako ya kuwakataa mwanaume wenye ngonjera nyingi ni kubwa kuliko rate ya kuwakubalia wenye chambi chambi! Hilo sidhani kama una la kubisha?
Unajua kinachokera sasa hivi wanaume wengi walishajiwekea wanawake wote ni rahisi kumbe sio hivyo.
Sio woteWanawake ni rahisi sana yann
Ndo ushatongoza hapo unadhani!? Umebakiza "naomba namba nikupigie twende gesti".Kwa uwezo wangu wa ki lobbying ww utakuwa una shape ama sura nzuri sana wanaume unawavutia
Kutongoza ni sanaa, hivyo haiwezi kuwa na universal formula.
Cha msingi ni kwamba unapotongozwa na mwanaume unaempenda hata atumie njia gani huoni kama ni kero.
Nikulize tu swali dogo!Haya ni mawazo yako.
Mkuu umemaliza kila kitu hakika wewe mkali
Nikulize tu swali dogo!
Mfano kwa status yako sahivi, akaja mtu na gari smart anakutongoza kwa pesa na akaja mkaanga chips kama ZeroIQ kwa miguu kumwaga mistari yake yupi ambaye ana chance kubwa ya kukubaliwa na wewe. Just be honest!?
Kivipi rafiki?
[/QUOTE
Ulitiwa bila kujua umetiwaje
Kuna mmoja alikuaga kanizidi kidogo umri kipindi iyo chuo, na mi ndo nilikua CR,Kumbe wanaume nanyie hutongozwa ???
Anae tongoza huwa anashuka mistar ya aina gan????
Ongelea ukweli tu just be real with yourself, chukulia mwenye gari ni mtu kama January Makamba na ZeroIQ ni mtu kama MB Dogg utamchagua nani!Itategemea na muonekano wa hao watu pale nafsi yangu itakapo ridhia kutakua hakuna upinzani.