Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani wanajimilikisha kabla ya makubaliano.[emoji23][emoji23][emoji23]Nimecheka sana,yaani yeye kashajikatia hatimiliki tayari.[emoji23][emoji23]
Ni kwe usemayo lakini kibaya zaidi mnajimilikisha kabla hamjakubaliwa.Sasa teknolojia imerahisisha mambo lazma tubadilike nayo. Ntataka kujua interests zako ntakuweka karibu nazo then kama ukijiongeza mnaanza penzi.
Ile ya kuanza kuimbishana na kuzungushana hailipi sikuhizi wakati kuna muhuni anaweza akwambia tu flani unajua nakuona long time sio siri upo sexy sana, nataka weekend moja nikakufanye ujiskie raha ya pekee ambayo hujawahi pata. Pls! Hapo muhuni kamaliza anakukazia macho tu unalegea utadema dema ila huchomoi.
Yani kutongoza hakuna formula kabisa, hasa mwanamke akiwa anakuelewa ndio inarahisisha,,,,unaweza hata mmbananisha kwenye kona ukapapasana nae ukamla chap! Au unamjulia julia hali tu after a while unamuita sehemu ya faragha tu kama anakuelewa hatobisha anajua unaenda kumla.
Huyo anaejimilikisha alikosea, maana lazma uangalie consent ya mlengwa kama ameafiki na ukafanikiwa kumla ndio utakuwa na haki ya kumuita mpenzi. Inapendeza baada ya kulana ndio ujimilikisheNi kwe usemayo lakini kibaya zaidi mnajimilikisha kabla hamjakubaliwa.
Huyo anaejimilikisha alikosea, maana lazma uangalie consent ya mlengwa kama ameafiki na ukafanikiwa kumla ndio utakuwa na haki ya kumuita mpenzi. Inapendeza baada ya kulana ndio ujimilikishe
[emoji23][emoji23][emoji23]95 % of human comunication ni non verbal, na mwanamke kabla hata hujamtongoza huwa tayari ashajua unataka kusema nini sema huwa anataka tu kuconfirm sasa mlitaka watu waombe kama wanaomba kazi za secretariat ya ajira ahahahaha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila nimecheka kweli ani manake hivyo hivyo vituko tunafanyaga ndio hivyo hivyo wanavyovipendaga wanawake
Sasa pesa si ndio mnayoabudu kwa sana, mnatupa mixed signals tatizo kuna ambao wanataka mitongozo old school ila wanaopenda magari na hela ni wengi zaidi!Unajua kinachokera sasa hivi wanaume wengi walishajiwekea wanawake wote ni rahisi kumbe sio hivyo.
Kuna mdada juzi nae eti anasema mahusiano yetu, eniwei labda uelewa wa maana ya neno uhusioano ni haba.Kuna uyo dokta wa hospitali flani,alitokea kunisaidia tu,na kuwa ananijulia hali naendeleaje,mara honey unaendeleaje,mara mpenzi Mara mke wangu...mm nikawa napotezea tu...sasa kuna siku nilikuwa narudi kwenye vipimo nikamwambia nakuja na mama,
Sasa Hapo Ndo Alinishangaza na kunivunja mbavu maana aliniambia
"Sawa Lkn Usimwambie Mama Kuhusu Mahusiano Yetu"
Nilibaki Najiuliza Huyu Nae Kanitongoza Lini,Wanaume kwa Kujibebisha!!! Muwe Mnafunguka Acheni Kujirahisishia....
Yeah hii ni kweli, na ndio maana ana courage ya kukukwepa kama hakupendi maana anajua tu utamtongoza. Anaekupenda atakupa airtime akuskilize una kiwango cha kuongea kiasi gani.95 % of human comunication ni non verbal, na mwanamke kabla hata hujamtongoza huwa tayari ashajua unataka kusema nini sema huwa anataka tu kuconfirm sasa mlitaka watu waombe kama wanaomba kazi za secretariat ya ajira ahahahaha 🤣🤣🤣🤣 ila nimecheka kweli ani manake hivyo hivyo vituko tunafanyaga ndio hivyo hivyo wanavyovipendaga wanawake
Ujana bhana kuna show uwa nikizikumbuka mpaka najicheka mwenyewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],hi tuliipa jina la "formula ya ghafla" kwenye kikao chetu.
Pesa ndo kila kitu na hakuna anae ichukia ndo maana hata wanaume wanakua wanawake sasa hivi hiyo yote ni pesa...Sasa pesa si ndio mnayoabudu kwa sana, mnatupa mixed signals tatizo kuna ambao wanataka mitongozo old school ila wanaopenda magari na hela ni wengi zaidi!
Basi mkitongozwa kama malaya msilalamike, na ndio tunachowafanyia sikuhizi maana huwezi tofautisha malaya na real woman.Pesa ndo kila kitu na hakuna anae ichukia ndo maana hata wanaume wanakua wanawake sasa hivi hiyo yote ni pesa...
Hahahah this is so amazing yet ridiculuos!Women are on this endless battle of wanting to be in charge and at the same time want not to be responsible of anything!
Complex beings!
Tatizo lenu ndo hilo wanawake wote mlisha waona malaya...Basi mkitongozwa kama malaya msilalamike, ndio tunachowafanyia
Yeah hii ni kweli, na ndio maana ana courage ya kukukwepa kama hakupendi maana anajua tu utamtongoza. Anaekupenda atakupa airtime akuskilize una kiwango cha kuongea kiasi gani.