Kuna wanaume wanatongoza vibaya! Kero mpaka vituko

Sijawahi kutongoza na naamini sijui kutongoza
 
af wadada weng mkiambiwa nakupenda direct rahis san kukutaa..
dawa yenu ndio iyo iyo danganya toto!!
 
Kuna mmoja nilienda kusalimia kwake nikachelewa kurud ikabid nilale kwake ilipofika asubuh nikashangaa tunagegedana sijui hata alinitongoza saa ngapi?
Hii ni kawaida sana mbona....huwezi zuia nyege hapo
 
Itakuwa Una miaka 17 maliza Kwanza shule
 
Kuna mmoja nilienda kusalimia kwake nikachelewa kurud ikabid nilale kwake ilipofika asubuh nikashangaa tunagegedana sijui hata alinitongoza saa ngapi?
Haukuleta utaratibu wa sitaki nataka kumpima ubavu wake wa kusaka papuchi?
 
Sawa kabisa mkuu
 
Kuna mmoja nilienda kusalimia kwake nikachelewa kurud ikabid nilale kwake ilipofika asubuh nikashangaa tunagegedana sijui hata alinitongoza saa ngapi?
Hii comment nzuri kuliko post [emoji39]
 
Mwanamke ukiona madhaifu yote hayo kwa mwanaume ujue roho yako haijampenda...hivyo unakua unataka mtu aongee sana ili upate influence au kitu cha kumpendea.....
Aisee mwanamke akikupenda hutumii nguvu kabisa..hivi hujawahi kuona watu wanakutana siku ya kwanza tena bahati mbaya...wanaangaliana tu na hapohapo wanapendana.....hahahaha......
Mwanamke alievutiwa na wewe huwa anatengeneza mazingira ambayo mwanaume yoyote ataelewa tu.....yaani hata bila kudanganyana maneno mengi.....Yaani unaweza msichana akakukubali kirahisi mpaka ukaona muujiza manake wakati huohuo anawachinjia mbali watu ambao ulihisi wako mbele yako kimaendeleo miaka kumi....

Wanawake wengi wanaosumbua, wanaotaka mtongozo mrefu, waambiwe maneno mengi..nahisi wengi wanakua Sio mahusiano ya kwanza au ya pili,Waliishatendwa na watu ambao waliwaamini hivyo Wanakuwa waoga kukubali kirahisirshisi sababu ya kutaka uhakika na kuogopa kuumizwa....

ALL IN ALL mapenzi hayana formula
 
Kuna mmoja nilienda kusalimia kwake nikachelewa kurud ikabid nilale kwake ilipofika asubuh nikashangaa tunagegedana sijui hata alinitongoza saa ngapi?
Kama ni dar hakuna sehemu utakayoenda useme umechelewa kurudi kwasababu usafiri upo mda wote otherwise na wewe ulikuwa unataka enheeeee! Hebu tuambie mlirudia tena au mliishia hiyo mara moja?
 
Wanawake mna wakati mgumu kwenye mahusiano hata ujisemeleshe vipi,utaona kila aina ya utongozaji ni sawa maana kila mtu ana akili yake lakini hao wote na hivyo vituko huna namna ya kuwakataa wala kujifanya wewe ndo mjanja maana mfanye yote tutabaki kua juu,mmekua wengi zaidi ya mala tatu yetu wanaume,sisi wenyewe tunaijua hali yenu na madhaifu ila tuna mioyo mikuu tunanyamaza
 
Asante kwa Kuwa muwazi....! Mwambie pia wanaume tumekuwa wachache pamoja na uchache huu wengine tena wamekuwa Mabwabwa, Yaani idadi inazidi kushuka chini , wakibahatika kukutana na mwanaume kama Mimi tusio jua Kutongoza, hutakiwi kujiuliza Mara mbili wewe kubali tuu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…