Kuna wanaume wanatongoza vibaya! Kero mpaka vituko

Kuna wanaume wanatongoza vibaya! Kero mpaka vituko

Jamani jamanii!! Naomba kuulizatu hivi wadada si mna moyo nanyi?? Mbona sasa mkiwa mnampenda mwanaume flanii hamtakagi kujionesha?? Mbona hampendagi kusema?? Au mnatarajia aote kua mnamtak/mna *m*u*p*e*n*d*a*[emoji1][emoji1]

Acheni hizo bna,, alaf mi naamini kuna mtu (me) anaweza kua anampenda sana mtu ila kwakua mazoea yamezidi..Ila kwakua wanaheshimiana..urafiki etc. Anahisi mtongozo utamchoresha anaamua kukausha na kutumia indirect ways[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23] my thoughts and opinions.
Wanawake tumeumbwa tofauti na wanaume jamani,kwa kawaida mwanaume ndo anatakiwa ajiongeze kama amependwa ila kama unampenda mtu mweleze direct ili uingie moyoni,na kama mazoea yamezidi tongoza tu,mwanamke anampenda sana mwanaume jasiri
 
Nilichosema ni ukweli mtupu.
Kweli kabisa wanaume sasa hivi hawatongozi sijui hawajiamini?


Mnatafunika kirahisi.

Mimi nilugegeda manzi Fulani bila kutongoza. Story tu. Hitaji kubwa LA mwanaume ni k tu mengine ziada
 
HATUHITAJI KUWATONGOZA, MAVAZI YENU NA NJAA ZENU ZINAONYESHA KABISA MLIVYO MALAYA.
MNASHINDIA KUVAA VISURUARI VYA KUBANA, MARA SIJUI VISKIN TIGHT, MARA MNATUACHIA MATITI NJE, KUJICHEKESHA NA KUOMBA VOCHA PAMOJA NA OUTING HAZIISHI.
MALIPO YENU NI KUWAGEGEDA, KUWAPA MIMBA AU UKIMWI, MTULELE HAO WATOTO HUKU MKIITWA NA KUJIITA SINGLE MOTHERS, WAKIKUA TUTAKUJA KUWACHUKUA WATOTO WETU!.
Hii inaitwa black and white hakuna kuremba
 
Kuna uyo dokta wa hospitali flani,alitokea kunisaidia tu,na kuwa ananijulia hali naendeleaje,mara honey unaendeleaje,mara mpenzi Mara mke wangu...mm nikawa napotezea tu...sasa kuna siku nilikuwa narudi kwenye vipimo nikamwambia nakuja na mama,

Sasa Hapo Ndo Alinishangaza na kunivunja mbavu maana aliniambia
"Sawa Lkn Usimwambie Mama Kuhusu Mahusiano Yetu"

Nilibaki Najiuliza Huyu Nae Kanitongoza Lini,Wanaume kwa Kujibebisha!!! Muwe Mnafunguka Acheni Kujirahisishia....
Hebu tusaidie ulitaka afungukeje
 
Wanawake tumeumbwa tofauti na wanaume jamani,kwa kawaida mwanaume ndo anatakiwa ajiongeze kama amependwa ila kama unampenda mtu mweleze direct ili uingie moyoni,na kama mazoea yamezidi tongoza tu,mwanamke anampenda sana mwanaume jasiri
Kwa tafsiri sisisi huwa tunasemahivi:

Well caught[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna mmoja nilienda kusalimia kwake nikachelewa kurud ikabid nilale kwake ilipofika asubuh nikashangaa tunagegedana sijui hata alinitongoza saa ngapi?
ulichelewaje na ww zilikuwa zimejaa!
 
KWANZA KUTONGOZA RAHISI SANA, TUNAAZA HIVI;; KWA WALE VIJA NA WADOGO
 
Wanaume wengine bwana,akianza kukutongoza au njia ambazo wanatumia kukutongoza ni vituko,huwa nabaki kushangaa kwa ukweli

Angalia hapa

1,Huyu yeye anakuomba namba, unampa,yeye anakuwa anakutumia pesa, hata bila kuomba unashtukia tu imethibitishwa,ukiuliza anakwambia nimekutumia tu,basi baada ya siku kadhaa anakwambia,nina hamu na wewe tukutane wapi ,au njoo Lodge Fulani au yaani hapo anataka gemu tu,unafikiria huyu mwanaume amenitongoza lini,D.D.D.D.D

2,Huyu mnakutana mnabadilishana namba,mnakuwa mnapiga stories za kawaida tu,siku moja anakuomba uende kwake kumsalimia,kufika anataka penzi,sasa unajiuliza umenitongoza lini yaani nachekaga wanaume wana mambo

3,Huyu yeye anaanza kukuita baby,sweet,love,mpenz,hata hajakutongoza,mwisho wa siku utakwambia njoo lodge fulani,unashangaa sasa huyu amenitongoza lini?

4,Huyu yeye anakutongoza na misifa juu,mara ajipigishe simu,anaulizia miradi,mara anauliza kuhusu gari lake ,hahahahaha,hapo anataka usikie alivyonavyo umkubalie mapema

5,Huyu yeye anakupenda,sijui anaogopa kukutongoza, anapenda sana kampani,kusindikizana njiani,baada ya siku kadhaa utasikia anawambia watu huyo ni dem wangu nilishakula zamani,hahahahaha yaani wanaume wanavituko jamani

Ongezea zingine.......
mbona yote ni mitongozo au unataka kusifiwa?
 
Back
Top Bottom