Kuna wanaume watamu sana!

Kuna wanaume watamu sana!

nina miaka mingi sana kwenye sector hiyo hadi nikaacha ujinga na kumrudia Bwana. ila tangu nianze kupambana na kutumia ujuzi wangu wote kuwatosheleza wanawake, sijaona faida ya ziada maishani. imebaki nimridhishe tu huyu niliyenaye ili apate furaha yeye. kwasababu mimi furaha ninayo siku zote.
Ingekuwa ujinga Mungu asingeweka. Good tulia na ulie nae. Of course God math Ni 1:1.
 
Bahati yako hujanitaja jina. Maana ningekupiga chini dakika 0 tu. Yaani shoo yenyewe nimekupa ya kawaida kabisa, ila ukaona uje unisifie huku. Mambo gani haya!!

Hii tabia uache mara moja. Wakati mwingine sitakuvumilia kabisa. [emoji30]
Kuna show halafu Kuna show Tena[emoji126][emoji126]
 
Back
Top Bottom