Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alichosema ni kweli japo wapo wazuri wana kubali utamu. Wazuri wanaringa sana.[emoji1][emoji1][emoji1]. Kwamba wazuri hawasikii utamu kumbe?
Niko hapa seat ya mbele.Hii ni kwa wale wanaume warefu Alaf weusi Alaf wanamwl flan hv mna kitu mtafika mbali [emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Namba ni 0678..276 njoo pm
Nitakuwa Mimi huyo
Wakati nasoma juuu nikasema Marioo wako hivyo maana hawana pesa nikasoma zaidi kwamba hakuna kitu anakupa nikacheka sanaHow is your Sunday Guys? Mine is so super Good.
Jamani nyie Kuna wanaume ni watamu acha tu jamani. Yaani he knows how to please a woman mpaka unaona mbingu hii hapa. Sijui huwa wanajifunzia wapi jamani maana wanajua sana na joto lake ooh dear u will even faint I swear...
Na most of them unakuta hata hakuna kitu anakupa, hana hela kiivyo, hakuna hata mahali anakupeleka katika future[emoji23][emoji23] ila sasa ndio ana utamu Jamani Oh oh oh God!..[emoji134][emoji134] unasahau shida zote yaani huishiwi hamu nae, unatamani hata mjifungie ndani mwezi mzima mpate tu time ya kula raha.
Yaani ukiwa nae mnakuja tu kushangaa saa 11 asubuhi imefikaje. Yaani jamani nyie acheni tu. wanaume watamu Mungu awatunze Jamani. Hata Kama hakuna mahali mnatupeleka haijalishi[emoji1]. Raha mnayotupa is Heaven oh oh [emoji97].
Mungu nituzie Kijana wangu.
Nikutakie Week poa ya kesho.
Afu baadaye uanze kutuita wanaume wote ni mbwa
wachachu hatuwezi kusababisha wengine waitwe mbwa, maana tokea mwanzo tunajulikana, haooooo wanaokolezaaa mpaka bi mdada anahadisia shoga zake, siku akiibiwa ndo ataumia zaidiHawakosekani hao, na wachachu pia wapo
Huu ni mtego 🏃🏃😀😀😀😀hadi mate yamenijaa 😋😋
Enewei ukiwa single jamani unaenjoy
Energy na panadol?? DuhBoda boda hanaga kazi chafu haswa akishakunywa Eneji na Panadol 🤣
Iyo ndiyo namba yangu mimi walai sema PM nakupa yote 😋Mbona km namba yangu
Iyo ndiyo namba yangu mimi walai sema PM nakupa yote [emoji39]
Ndiyo ushagoma tusifananishe xaxa.Hapo mwanzo ni 12.. ? Wallah yangu yafanana na hiyo