Kuna wanaume watamu sana!

Kuna wanaume watamu sana!

Hivi hii inamuhusu nanii isije kuwa mm nfo nmeanfikwa hapa pasipo kujijua🤣🤣
 
Wanaume watamu huwa hatunaga mapesa mengi ila alhamudululah vichechi vya kubadili mboga kula na kuvaa hatukosagi, tuko size ya kati sana.

Mwanaume mwenye ako na pesa mingi amini nakueleza siyo mtamu wengi wao 90% sio watamu.

Pia mwanaume aliyepigika hana life pia wengi sio mtamu, raha upate mwanaume aliye balance maisha na kuridhika (he got no stress, he see this is life let live it).

Uchawi wa kumpata mwanamke adumu nawe nishaambia wanaume wengi sio pesa pekee ni akili na kumweka sawa. Kumkaza mwanamke kwa kupush na kutoa mboroz sio kigezo cha kumpa climax yapo manjonjo mengi sana.

Kwa mwanamke aliye romantic au hajawai pata penz na analitaka yaani she is crying for it, unaweza ukamchanganya akili kama utatumia vizuri mwili wako kwenye kila aspect, imagine mwanaume umeoga fresh afu mdomo una harufu mbaya you can't give her happy, kama umekula nguruwe sijui wali maharage kiweke kinywa kiwe safi.

I wanted to say mapenzi matamu yanaanza na vingi sana.

Nikiri sijawahi pata demu ako romantic wengi mimi ndiyo ninawapagawisha. Due to social distance between us hatumeet na they always remember me till now though hawapo romantic.
 
How is your Sunday Guys? Mine is so super Good.

Jamani nyie Kuna wanaume ni watamu acha tu jamani. Yaani he knows how to please a woman mpaka unaona mbingu hii hapa. Sijui huwa wanajifunzia wapi jamani maana wanajua sana na joto lake ooh dear u will even faint I swear...

Na most of them unakuta hata hakuna kitu anakupa, hana hela kiivyo, hakuna hata mahali anakupeleka katika future[emoji23][emoji23] ila sasa ndio ana utamu Jamani Oh oh oh God!..[emoji134][emoji134] unasahau shida zote yaani huishiwi hamu nae, unatamani hata mjifungie ndani mwezi mzima mpate tu time ya kula raha.

Yaani ukiwa nae mnakuja tu kushangaa saa 11 asubuhi imefikaje. Yaani jamani nyie acheni tu. wanaume watamu Mungu awatunze Jamani. Hata Kama hakuna mahali mnatupeleka haijalishi[emoji1]. Raha mnayotupa is Heaven oh oh [emoji97].

Mungu nituzie Kijana wangu.

Nikutakie Week poa ya kesho.
Wakati nasoma juuu nikasema Marioo wako hivyo maana hawana pesa nikasoma zaidi kwamba hakuna kitu anakupa nikacheka sana
 
Basi buu uzi utakua na maisha marefu, nipo hapa kushuhudia
 
Back
Top Bottom