Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Punguza ukali wa maneno dadaWewe mwanaune anatisha sura alafu hana mkwanja unaweza kuzan umeolewa na nsyukaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza ukali wa maneno dadaWewe mwanaune anatisha sura alafu hana mkwanja unaweza kuzan umeolewa na nsyukaaaa
Isije nikapoteza mda kutengeneza chest halafu uibuke na lingine tena, maana hamchelewi kubadili gia angani[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
uko na pesa ya kumgaramia[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]hata kama masikin ili mradi handsome
kwa nini?mie sipendi wanaume wa hivi hata unihonge nyumba na hari +pesa siwezi kuongozana na mtu wa hivi
kwa nini?
siwezi tu sio type ya binadamu ninaopenda kuwa karibu nao kabisa kabisa ..........................kwa nini?