Kuna wanaume wazuri yani mpaka unatamani kumla kama chakula

Kuna wanaume wazuri yani mpaka unatamani kumla kama chakula

Mwenyezi Mungu fundi
Mwanaume mtamu anakuzalia watoto unatumia mpaka 30M international school + University ila wanaishia kutoa Makamasi + kula unga+ Supplementary za kufa mtu
Mmmh mbona haina uhusiano? Wewe kama ni me utakuwa mbaya na ikiwa ni ke utakuwa na mwanaume mbaya unajipa moyo😅
 
Back
Top Bottom