Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnapenda white/black?Na ngozi uwe umejaliwaaa
Mi pia chocolate[emoji39] [emoji4]Chocolateee
awe amevaa hereni kama huyo kwa picha au?? wewe na yeye nyote mvae hereni..??Kuna wanaume wamebarikiwa hapa duniani mpaka unajiuliza angekuwa chips kuku (wadada tunapenda ) ningekuwa namuagiza kila siku namla huyu nyam nyam. Yani mwanaume amebarikiwa jamani, ngozi nyeusi ya kuvutia kama chocolate, macho ya kimahaba, kifua mashalaaaah, dushe la wastani na kuteleza, tabasamu lake sasa uwii! Akiwa kitandani ndo hata usiulize, anapendeza pamba balaa.
![]()
Jamani na hii baridi kwa kweli unaweza hata usihisi njaa ukiwa na mwanaume kama huyuu maana yeye ni shibe tosha. Wanaume wazuri wanafanana na chakula kizuri ninachopenda kula maana anavutia mpaka mapigo ya moyo yanaenda kasi speed 120 kwa saa.
Nyongeza:
Mwanaume ukiwa na msura mbaya uwe na pesa alafu usiwe na wivu maana sura lako linatisha kama mchawi karaba.
Demiss(cha mdeko)
Ha haaaa....awe amevaa hereni kama huyo kwa picha au?? wewe na yeye nyote mvae hereni..??
DuuhKuna wanaume wamebarikiwa hapa duniani mpaka unajiuliza angekuwa chips kuku (wadada tunapenda ) ningekuwa namuagiza kila siku namla huyu nyam nyam. Yani mwanaume amebarikiwa jamani, ngozi nyeusi ya kuvutia kama chocolate, macho ya kimahaba, kifua mashalaaaah, dushe la wastani na kuteleza, tabasamu lake sasa uwii! Akiwa kitandani ndo hata usiulize, anapendeza pamba balaa.
![]()
Jamani na hii baridi kwa kweli unaweza hata usihisi njaa ukiwa na mwanaume kama huyuu maana yeye ni shibe tosha. Wanaume wazuri wanafanana na chakula kizuri ninachopenda kula maana anavutia mpaka mapigo ya moyo yanaenda kasi speed 120 kwa saa.
Nyongeza:
Mwanaume ukiwa na msura mbaya uwe na pesa alafu usiwe na wivu maana sura lako linatisha kama mchawi karaba.
Demiss(cha mdeko)
ChaWengi wa hivyo wanakuwaga wametatuliwa linda, nahis hata hapo amekaa akisubil atatuliwe linda
Sio kila king'aacho ni dhahabu
Afu acha kuita wanaume wana sura mbaya wewe siyo Muumba
LONDON BOY
🤣🤣🤣🚀™️Kwa taarifa nilizonazo siku hizi unagawa sana hicho kitumbua,amen amen nakuambia punguza speed la sivyo mume wako atakaekuja kukuoa hatakuta kitu huko chini!!
mshamba_hachekwi watoto was Arusha mmekutwa na Nini ?