Kuna wanaume wazuri yani mpaka unatamani kumla kama chakula

Kuna wanaume wazuri yani mpaka unatamani kumla kama chakula

Acha wivu kuna wanaume mashaaalah
cd64e3743155581a9f1a4494c24744e5.jpg
Mdomoni amepaka nini??
Hastahili kuwekwa kwenye makumbusho ya heshima kwa wanaume halisia.
 
Ubaya hata huyo mwanaume unaemsifia kuwa ni mzuri utataka akuhonge na pesa baada ya kukumbato. Useless!!!
 
Duh mkuu umeng'amua vilivyo

Umeona mbali mno,
Ubarikiwe
Mkuu na wee una mawazo mafupi sana kwan lazima mwanamke atangulie kitandan huo ni ushamba hapo huon kama walikuwa wanapigana picha na demu wake

Ulikuwepo hapoo pohhhh
 
[emoji23] wadada kama hawa, wanaochambua chambua vidume, Mara nyingi unakuta vyenyewe ndio vibayaaaa, wanawake wazuri hawafanyagi huu ujinga
Wanaume wenye sura mbaya utawajua tu wana wivuuu kam nn

Kwanza hawajulikan wamenuna au wametabasamu
 
Ubaya hata huyo mwanaume unaemsifia kuwa ni mzuri utataka akuhonge na pesa baada ya kukumbato. Useless!!!
Kweli kabisa mkuu. Wanawake wa siku hz hawawezi kutOm3wa bila kuhongwa. Inaudhi sana.
 
Wanaume wenye sura mbaya utawajua tu wana wivuuu kam nn

Kwanza hawajulikan wamenuna au wametabasamu
Anajua yeye sura ya jogoo hivyo utakutana na ma handsome ukamtosa na hawapenda mtoke sehemu yenye watu wengi [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Mimi mwanaume anayenijali na kunihudumia mahitaji yangu huyo ndo nakuaga simshibi. Yani nikimuangalia tu napata hamu.
Lakini hata awe na sura ya malaika kama mchoyo mvuto unapotea kabisa namuona kama mchawi karaba
 
Mimi mwanaume anayenijali na kunihudumia mahitaji yangu huyo ndo nakuaga simshibi. Yani nikimuangalia tu napata hamu.
Lakini hata awe na sura ya malaika kama mchoyo mvuto unapotea kabisa namuona kama mchawi karaba
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mwanaume mwenye mkwanja au sioooo
 
Mafuta ya kulainish mdomo hayo uko dunia ya ngapiii
Acha ligi Demiss. Tufanye nipo dunia ya 3.
Ila nikubalie kwanza kama una tatizo la colour blindness. Kama sivyo basi nimeshindwa mimi.
 
Back
Top Bottom