shybubu
JF-Expert Member
- Oct 30, 2016
- 538
- 393
[emoji23] wadada kama hawa, wanaochambua chambua vidume, Mara nyingi unakuta vyenyewe ndio vibayaaaa, wanawake wazuri hawafanyagi huu ujingaAcha maneno shombo. We Dada. Vp
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] wadada kama hawa, wanaochambua chambua vidume, Mara nyingi unakuta vyenyewe ndio vibayaaaa, wanawake wazuri hawafanyagi huu ujingaAcha maneno shombo. We Dada. Vp
Mdomoni amepaka nini??Acha wivu kuna wanaume mashaaalah![]()
Wanaume wenye sura mbaya utawajua tu wana wivuuu kam nn[emoji23] wadada kama hawa, wanaochambua chambua vidume, Mara nyingi unakuta vyenyewe ndio vibayaaaa, wanawake wazuri hawafanyagi huu ujinga
Kweli kabisa mkuu. Wanawake wa siku hz hawawezi kutOm3wa bila kuhongwa. Inaudhi sana.Ubaya hata huyo mwanaume unaemsifia kuwa ni mzuri utataka akuhonge na pesa baada ya kukumbato. Useless!!!
Anajua yeye sura ya jogoo hivyo utakutana na ma handsome ukamtosa na hawapenda mtoke sehemu yenye watu wengi [emoji2] [emoji2] [emoji2]Wanaume wenye sura mbaya utawajua tu wana wivuuu kam nn
Kwanza hawajulikan wamenuna au wametabasamu
[emoji3] [emoji3]Hahaha pole sana wewe ambaye mdomo umekauka kauuu kama upo kwenye mfungo wa ramadhan
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mwanaume mwenye mkwanja au siooooMimi mwanaume anayenijali na kunihudumia mahitaji yangu huyo ndo nakuaga simshibi. Yani nikimuangalia tu napata hamu.
Lakini hata awe na sura ya malaika kama mchoyo mvuto unapotea kabisa namuona kama mchawi karaba
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mwanaume mwenye mkwanja au sioooo
Acha ligi Demiss. Tufanye nipo dunia ya 3.Mafuta ya kulainish mdomo hayo uko dunia ya ngapiii
Kivipi labda?Hivi unaweza kubadilisha moyo wa mtu mkuuu