Punguza ukali wa maneno dadaWewe mwanaune anatisha sura alafu hana mkwanja unaweza kuzan umeolewa na nsyukaaaa
Isije nikapoteza mda kutengeneza chest halafu uibuke na lingine tena, maana hamchelewi kubadili gia angani[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
uko na pesa ya kumgaramia[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]hata kama masikin ili mradi handsome
kwa nini?mie sipendi wanaume wa hivi hata unihonge nyumba na hari +pesa siwezi kuongozana na mtu wa hivi
kwa nini?
siwezi tu sio type ya binadamu ninaopenda kuwa karibu nao kabisa kabisa ..........................kwa nini?