Kuna wanawake hawapendeki hata uwafanyie nini

Kuna wanawake hawapendeki hata uwafanyie nini

kumbe k zinatofautiana utamu nipe darasa mkuu tamu ikoje hahahahahahah na isiyo na maajabu ikoje aloo wanaume
Ndo uKweli huo,
Kuna mtu unamwona kwa nje,unaamini yaliyomo yamo, unajivika bomu na kuingia nae Kwny mahusiano

Kufika chumban kumbe yaliyomo hayamo. Unabak kujiaumu muda na gharama ulizotumia na kumpiga chini baada ya kumlala TU Huwezi, unajihisi ujamtendea Haki, anabaki kumuweka wa ziada ila kumuacha humuachi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] watoto wawili si utatoka nduki ww wanaum hawataki majukumu
Nalijua hilo.
Achana na mkata umeme njoo kwa mwanaume mpenda familia.
Watoto ni baraka, riziki zao Mungu ataelekeza kwetu mama
 
Ndo uKweli huo,
Kuna mtu unamwona kwa nje,unaamini yaliyomo yamo, unajivika bomu na kuingia nae Kwny mahusiano

Kufika chumban kumbe yaliyomo hayamo. Unabak kujiaumu muda na gharama ulizotumia na kumpiga chini baada ya kumlala TU Huwezi, unajihisi ujamtendea Haki, anabaki kumuweka wa ziada ila kumuacha humuachi.
asa ndo tamu zikoje mkuu ili nijijue jmn
 
Kwahio hata mkeo kwako sio bora mkuu ukiumwa huyo mama j hawezi kuja kukuogesha mkeo huyo unae muona ziro ndio atakuogesha
Suala la ugomvi wa tendo na wife Silitaki, nishajua hanifanyii kusudi kua vile,ndivyo alivyoumbwa na siwezi ikosoa kazi ya mungu,eti kutaka kulazimisha awe km nnavyotaka Mimi.

Cha muhimu
90% ya wife kua wife material keshafikisha. Hiyo 10% ilobaki kwa sehemu ya sex naweza kuifix nje kimya kimya na maisha Kwny ndoa yetu yakaenda safi kwa amani na utulivu Bila migogoro yoyote
 
Haitoshi pia anawapigia rafiki zako wa karibu sn kuwajulisha kua mmeshaachana sababu umemchanganya yeye na shoga Yake, Wewe ni mtu mbaya sana.

Haishii hapo anapeleka taarifa hizo kwa bwana ake na uyo shoga yake kua unatembea na mchumba wake, jamaa asivyo na ustaarabu Wala busara anakuja kichwa kichwa Bila ushahidi wowote, mtu anakuletea shutuma za kutembea na mchumba wake ila hakusikilizi Japo kidg, MDA wote anataka aongee yeye tu peke yake.

Unaona kumbe huyu jamaa nae mpuuzi, kaja kwa Shari,tayar ameshasadiki Maneno yote ya uwongo aliyolishwa uko na uyo mwanamke, hata hajui chanzo Ni nini,anakurupuka na hataki kueleweshwa.Basi mnazinguana ile mbaya liwalo na liwe. Hakuna hata kusalimiana,kila mtu kivyake.

Baada ya yote hayo alokufanyia na kukuchafua kote huko, umemkalia kimya TU, haipiti wiki anaomba tena mrudiane muanze upya,kakosea sn,yeye bado anakupenda Sana hawezi kuishi Bila Wewe.

Wakuu hivi mwanamke wa hivi unamuelewaje?[emoji848]View attachment 2625104View attachment 2625105View attachment 2625106View attachment 2625107View attachment 2625108View attachment 2625109View attachment 2625110
Miaka mitatu unahusumia mwanamke ambaye siyo mke wako ktk Tanzania hii ya hawa wanawake wa sasa??? Aisee una roho ngumu sana
 
Suala la ugomvi wa tendo na wife Silitaki, nishajua hanifanyii kusudi kua vile,ndivyo alivyoumbwa na siwezi ikosoa kazi ya mungu,eti kutaka kulazimisha awe km nnavyotaka Mimi.

Cha muhimu 90% ya kua wife material kafikisha. Hiyo 10% ilobaku sehemu ya sex naweza kuifix nje kimya kimya na maisha Kwny ndoa yetu yakaenda kwa amani na utulivu Bila migogoro
Ila kama mke anaweza kumtengeneza mwanaume kuwa kama anavyotaka na akawa why wewe ushindwe kumtengeneza mkeo mimi nakushauri achana na michepuko si ajabu humu pika kuna watu umewapanga na wakapangika haya bhna
 
Umeshindwa kusimama kama mwanaume kwa huyo mwanamke, nadhani kwa sasa anakuona kama mwanamke mwenzake tu. There's no way mwanamke akanipanda kichwani namna hiyo namuangalia tu!!
 
Back
Top Bottom