Kuna wanawake hawapendeki hata uwafanyie nini

Kwa hiyo 10% ni ya mama J?
 
Mama J keshafanya yake tena 😅😅😅😅😅 huyo Muhaya atakuu aisee
 
Watu wanapaswa kuelewa kwamba faida za mahusiano kwa mwanaume siku hizi ni chache mno kuliko faida.
 
Kama sio Msukuma huyu ni Mchaga, Tena WA standard six
 
Daaa kuna dem nipo naye kwenye mahusiano sifa kama za uyo demu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…