Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajitahidi awe na ardhi oevu tu Deeppond hachomoiKwenye matatizo ndio kwenye fursa,
Nona unatumia fursa,
Good luck.
😀
Sio kweli mkuu,Thd iishie hapa,huu ndio ukweli mchungu ambao mleta mada anatakiwa aukubali,
Wanasema mapenzi ni upofu,bila shaka mleta mada bado hajafungua macho.
Unataka hadi uzikwe naye ndio uamini?Acheni hizo bas,sijafikia uko bhana[emoji4]
Tatizo anajichetua Sana,Ulifanya kwa kila alilolitaka akajua kua kisha kupanda kichwani,
Kifupi ulimdekeza sana akajua unamuhitajia sana na huwezi kumuacha no matter what.
Mkuu,itachukua muda mpaka kuja kugundua makosa uliyoyafanya ambayo yamekufikisha hapo,Sio kweli mkuu,
Sometimes jaribu kuvaa viatu vyangu
Sio unaongea jumla jumla TU mkuu[emoji4]
Ntoe tongotongo Ni makosa yapi hayo nmeyafanya niyajua.Mkuu,itachukua muda mpaka kuja kugundua makosa uliyoyafanya ambayo yamekufikisha hapo,
Najua kwasasa ni ngumu kuelewa,
Pata juice ya miwa kisha relax.
Mbona sababu nimeshakupa? soma tena comments zangu huko juu.Ntoe tongotongo Ni makosa yapi hayo nmeyafanya niyajua.
- kumhudumia?
-kumwambia ajinunulie chakula?
-kumtafutia kazi au vipi?