Kuna wanawake hawapendeki hata uwafanyie nini

Kuna wanawake hawapendeki hata uwafanyie nini

Siku ukiachana na Mama J, utanenepa kwa raha halafu upate Presha Ufe..

Shikilia hapo hapo kwa Usalama wa Afya yako..
Ha ha ha...apo umeniacha Njia panda kiongozi,fafanua vizur[emoji4]
 
Mkuu,itachukua muda mpaka kuja kugundua makosa uliyoyafanya ambayo yamekufikisha hapo,
Najua kwasasa ni ngumu kuelewa,
Pata juice ya miwa kisha relax.
Ntoe tongotongo Ni makosa yapi hayo nmeyafanya niyajua.
- kumhudumia?
-kumwambia ajinunulie chakula?
-kumtafutia kazi au vipi?
 
Back
Top Bottom