prettykind21
Member
- May 16, 2023
- 99
- 164
mkia😂😂Kwahiyo umeamua kututukana sio viumbe wenye nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkia😂😂Kwahiyo umeamua kututukana sio viumbe wenye nini?
Mkia si umekufanya ukaitwa mama cutest au nini kimekufanya uitwe ivyo?mkia😂😂
ndo ivo ila kwa sasa mkia umenikata stimu na miez 8 na upwiru huu sijui ntautoa lini kiukwel naogop mahusiano balaa mhhMkia si umekufanya ukaitwa mama cutest au nini kimekufanya uitwe ivyo?
Hiyo concept ujanielewa kiongoz wanguIla kama mke anaweza kumtengeneza mwanaume kuwa kama anavyotaka na akawa why wewe ushindwe kumtengeneza mkeo mimi nakushauri achana na michepuko si ajabu humu pika kuna watu umewapanga na wakapangika haya bhna
Kwamba nilitakiwa nikamuwashe Moja mbili tatu za mashavuni?Umeshindwa kusimama kama mwanaume kwa huyo mwanamke, nadhani kwa sasa anakuona kama mwanamke mwenzake tu. There's no way mwanamke akanipanda kichwani namna hiyo namuangalia tu!!
Mimi single boy sina shida kabisa muulize Gily atakwambia ni pesa tu ndio sina ila baba yangu mdogo Half american atanisaidia kukutunzando ivo ila kwa sasa mkia umenikata stimu na miez 8 na upwiru huu sijui ntautoa lini kiukwel naogop mahusiano balaa mhh
Yaani mimi demu anipande kichwani kiasi hicho dah, kuna mmoja alifikiri kuwa K anayo yeye pekeyake duniani,. Nikampiga chini nikachukua chuma kipya, saiv analia lia tu, umri wake unayoyoma hadi ana stress za kukosa mume.Acheni hizo bas,sijafikia uko bhana[emoji4]
Kwamba uwe unachakata TU,. Ukishamwaga mbegu zako, Ela ya sabuni awe anaenda kuchukua kwa Half american au vipi?Mimi single boy sina shida kabisa muulize Gily atakwambia ni pesa tu ndio sina ila baba yangu mdogo Half american atanisaidia kukutunza
Mama cutest Unamaanisha nini unaposema mkia umekukata stimu?Mimi single boy sina shida kabisa muulize Gily atakwambia ni pesa tu ndio sina ila baba yangu mdogo Half american atanisaidia kukutunza
Umenielewa sana sana sana ivyo ivyoKwamba uwe unachakata TU,. Ukishamwaga mvnegu zako, Ela ya sabuni awe anaenda kuchukua kwa Half american au vipi?
Unaweza kutumia kilugha?Soma Tena kwa umakini mkuu[emoji4]
mekosea kuni qouteMama cutest Unamaanisha nini unaposema mkia umekukata stimu?
Dah! Basi alikua wa kawaida uyo,Yaani mimi demu anipande kichwani kiasi hicho dah, kuna mmoja alifikiri kuwa K anayo yeye pekeyake duniani,. Nikampiga chini nikachukua chuma kipya, saiv analia lia tu, umri wake unayoyoma hadi ana stress za kukosa mume.