Kuna wanawake ni balaa wanajua kila namna tunavyoficcha pesa tukilala nao guest houses/lodges/hotels

Kuna wanawake ni balaa wanajua kila namna tunavyoficcha pesa tukilala nao guest houses/lodges/hotels

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Hello JF,

👇👇👇

Juzi Kati hapa nimekoma nimeingia lodge na manzi mmoja mitaa ya area D hapa Dodoma, nilivua suruali mbele yake nikaitundika kwenye enga ukutani, si akashangaa akauliza au ushaficha pesa zako kwenye socks, pillow, uvunguni, kwenye godoro. Pombe mbaya sana ilinisaidia kumjua kumbe demu uchuro tu tofauti na muonekano, nikamshushia bao mbili tu nikamruhusu aondoke mademu wanaokaa majengo hapa Dodoma ntawakimbia.

Mnisamehe nilibanwa sana msinipopoe kiihivo

Wadiz
 
Hello JF,

[emoji116][emoji116][emoji116]

Juzi Kati hapa nimekoma nimeingia lodge na manzi mmoja mitaa ya area D hapa Dodoma, nilivua suruali mbele yake nikaitundika kwenye enga ukutani, si akashangaa akauliza au ushaficha pesa zako kwenye socks, pillow, uvunguni, kwenye godoro. Pombe mbaya sana ilinisaidia kumjua kumbe demu uchuro tu tofauti na muonekano, nikamshushia bao mbili tu nikamruhusu aondoke mademu wanaokaa majengo hapa Dodoma ntawakimbia.

Mnisamehe nilibanwa sana msinipopoe kiihivo

Wadiz
Lakini kwa mshahara wa ualimu wangu hu ntalala na malaya guest kutafuta nini?........hela yangu nikitoa kwa Atm mara moja inaisha ataniibia nini?
 
Hio manzi ukiiona hapa kwenye viwanja vya ku vybe hapa Jiji kuu makao makuu Dodoma utadata, ilinibidi nimle chap chap tu asepe, akipiga simu zake sipokei, nasikitika nilikuwa kama timu ya 44KJ toka kuibuka kwa Henry Moris imezama ndio basi
 
Wewe huna skills za hiding money ,mimi naweza kuficha Hela kwenye k yake
Mkuu toa hizi mbinu aiseee mabaharia tuwe salama na pesa zetu wakati wa kuchakata hizi mbususu

Mm hua nacheza nafunguo tuu naficha kwenye nywele zake kama amesuka manywele mengi kama hajasuka naiweka kwenye mifuko ya nguo zake au pochi yake lazima ataniamsha tuu kuulizia ufunguo ulipo
 
Back
Top Bottom