Kuna wanawake wachafu

Kuna wanawake wachafu

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Inasikitisha mwanamke wa sasaivi ana lalia shuka two weeks na haoni shida kabisa wakati kwa kawaida shuka linatakiwa libadirishwe ndani ya siku tatu kama hakujatokea maangamizi ya kitandani lakini kama yakitokea unapaswa badirisha baada ya maanagamizi ila kwa hawa wanawake wa sikuiz ni wachafu hajui kabisa usafi kufua kwao shida
 
Yaan acha akabisa unakuta jiko la mwanamke chafu mpaka kula chakula chake unaona hapana
Chakula cha mwanamke mvivu unaweza kula uchafu. Mwiko unaweza anguka, akaona uvivu kuosha. Akafuta tu na nguo ambayo ametoka nayo kuswampa kwa mashoga zake na bila kuoga kaingia jikoni hivo hivo kwa kuona amechelewa kupika. 😀
 
Back
Top Bottom