Kuna wanawake wachafu

Kuna wanawake wachafu

Inasikitisha mwanamke wa sasaivi ana lalia shuka two weeks na haoni shida kabisa wakati kwa kawaida shuka linatakiwa libadirishwe ndani ya siku tatu kama hakujatokea maangamizi ya kitandani lakini kama yakitokea unapaswa badirisha baada ya maanagamizi ila kwa hawa wanawake wa sikuiz ni wachafu hajui kabisa usafi kufua kwao shida
We si ulitaka Pisi Kali?Makucha kama ya nyani? Huo ndio Mshahara sasa.
 
Back
Top Bottom