Kuna wanawake wachafu

Kuna wanawake wachafu

Na rafiki yangu mmoja kaoa mwanamke yuko rafu kichizi kwanza sebuleni kwao siku zote zimezagaa nguo hovyo hovyo haijulikani ni nguo safi au chafu, anaweza akajiremba kinoma ukapishana nae mtaani bonge la mrembo ila mwana akikwambia twende nyumbani maramoja utaenda kukuta beseni limejaa maji ya ukoko
Ahahah uyo mvivu sana
 
Inasikitisha mwanamke wa sasaivi ana lalia shuka two weeks na haoni shida kabisa wakati kwa kawaida shuka linatakiwa libadirishwe ndani ya siku tatu kama hakujatokea maangamizi ya kitandani lakini kama yakitokea unapaswa badirisha baada ya maanagamizi ila kwa hawa wanawake wa sikuiz ni wachafu hajui kabisa usafi kufua kwao shida
Bora shuka, je kwenye mgodi ambako, utakutana na bwawa la mindu ama mia tano, mia tano mbili
 
Back
Top Bottom