Muhsin Snr
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 515
- 806
Dah ww kibokoAtokomeze uchafu. ๐
Ahh mbna huelewekiMi ni msafi japo siwapendi wasafi
UjakoseaIli wasiwe wanakudandia.
Sema mwanaume akiwa msafi tena watasema anamambo ya kike. ๐
Ni shida tupuBora shuka, je kwenye mgodi ambako, utakutana na bwawa la mindu ama mia tano, mia tano mbili
Mtag mmoja aje ajiteteWanawake wa kiha kutoka kigoma wanawake wa kinyaturu kwa uchafu mpewe mauwa yenu daaaaaaaaa
Wee hufuiKumbe mashuka yanafuliwa๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ
Mkekwan kiongozi, uinataka mke au shuka?
Madame Ticha kwa kiingereza inaandikwa vipi hii ?๐คฃ๐คฃ๐คฃKumbe mashuka huwa yanafuliwa? Nilijua likitandikwa ni hadi lichakae๐
We si ulitaka Pisi Kali?Makucha kama ya nyani? Huo ndio Mshahara sasa.Inasikitisha mwanamke wa sasaivi ana lalia shuka two weeks na haoni shida kabisa wakati kwa kawaida shuka linatakiwa libadirishwe ndani ya siku tatu kama hakujatokea maangamizi ya kitandani lakini kama yakitokea unapaswa badirisha baada ya maanagamizi ila kwa hawa wanawake wa sikuiz ni wachafu hajui kabisa usafi kufua kwao shida
NimekomaWe si ulitaka Pisi Kali?Makucha kama ya nyani? Huo ndio Mshahara sasa.
Kaongeza na sababu ya maangamiziMuda sio sababu kuw shuka ni chafu ,
HahahaChakula cha mwanamke mvivu unaweza kula uchafu. Mwiko unaweza anguka, akaona uvivu kuosha. Akafuta tu na nguo ambayo ametoka nayo kuswampa kwa mashoga zake na bila kuoga kaingia jikoni hivo hivo kwa kuona amechelewa kupika. ๐
Bila D Mbili huez elewaA
Ahh mbna hueleweki
Kama ni mchafu kwa nje sipati picha hiyo Nyapu nayo ikoje๐ ๐ ๐Sio sir kabisa hawafai hivi walio wanawake wachafu wanaishije
Wengine wanadhani ni cha please teacher am going to make chururuuu basiNi shida tupu
Kabisa sipingiBila D Mbili huez elewa
Inakuwa imechoka na misuko sukoKama ni mchafu kwa nje sipati picha hiyo Nyapu nayo ikoje๐ ๐ ๐
AhahahaWengine wanadhani ni cha please teacher am going to make chururuuu