Kuna Wanawake wanapika Vitumbua vitamu jamani acheni tu. Mnaweza tulaumu bure sisi wanaume

Kuna Wanawake wanapika Vitumbua vitamu jamani acheni tu. Mnaweza tulaumu bure sisi wanaume

GuDume

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2015
Posts
6,651
Reaction score
14,337
Hapa mnaweza laumu Kuwa wanaume hawatulii, hawali kwa wake zao n.k kumbe ni utamu wa vitumbua kama hivi. Ukikiona tu kwa nje unatamani ukile... Kimetuna, Kisafi kina mvuto.

Tuelekezane mapishi haya tafadhali kwa wajuzi. Ukinionesha mwanamke mwenye kitumbua kama hiki... Ntamfata popote nikile.
IMG_20180712_201714_854.JPG
 
Vitumbua ukila asubuhi utalala kazini kwa uchovu, vyenyewe vinaliwa usiku tu tena wakati watu, majirani, watoto, wakwe, wamelala. Unakula taratibu bila kupiga kelele ndiyo inapendeza zaidi.
 
Raha ya kitumbua kiwe na jotoridi bwana!! Unaweza kukila kikavu bila kitelezeshi
 
Kuna Mkufunzi wa Maafande kimemdedisha huko.....
 
Hata wale wa magunia 20 ya mirungi kule kwa kina mura huenda walikuwa katika jitihada za kuhakikisha hawakosi vitumbua vilivyonona pale wanapovihitaji katika milo yao
 
Vitumbua ukila asubuhi utalala kazini kwa uchovu, vyenyewe vinaliwa usiku tu tena wakati watu, majirani, watoto, wakwe, wamelala. Unakula taratibu bila kupiga kelele ndiyo inapendeza zaidi.
sasa huu ni uchoyo na kuna uwezekano ukala na mende au konokono kama mzee matola
 
Back
Top Bottom