Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vingi vya alfajiri upikwa uchi,ndo maana ni vitamu,why sababu uamka alfajiri sana uviandaa then wakimaliza ndo uenda kuoga ili waingie sokoni,huwezi oga ndo uanze kupika.
Mbona viko zaidi ya hivyo mkuuHapa mnaweza laumu Kuwa wanaume hawatulii, hawali kwa wake zao n.k kumbe ni utamu wa vitumbua kama hivi. Ukikiona tu kwa nje unatamani ukile... Kimetuna, Kisafi kina mvuto.
Tuelekezane mapishi haya tafadhali kwa wajuzi. Ukinionesha mwanamke mwenye kitumbua kama hiki... Ntamfata popote nikile.
View attachment 808137
Hivi kitumbua hicho pichani na kile unachomaanisha vinafananaje?...mbona hicho ni cha duara?...au mpaka ukikate katikati?Hapa mnaweza laumu Kuwa wanaume hawatulii, hawali kwa wake zao n.k kumbe ni utamu wa vitumbua kama hivi. Ukikiona tu kwa nje unatamani ukile... Kimetuna, Kisafi kina mvuto.
Tuelekezane mapishi haya tafadhali kwa wajuzi. Ukinionesha mwanamke mwenye kitumbua kama hiki... Ntamfata popote nikile.
View attachment 808137
Utata hapoHapa mnaweza laumu Kuwa wanaume hawatulii, hawali kwa wake zao n.k kumbe ni utamu wa vitumbua kama hivi. Ukikiona tu kwa nje unatamani ukile... Kimetuna, Kisafi kina mvuto.
Tuelekezane mapishi haya tafadhali kwa wajuzi. Ukinionesha mwanamke mwenye kitumbua kama hiki... Ntamfata popote nikile.
View attachment 808137
Kuna wamama wanapika pale stendi ya igoma Kama unaenda kishiri hahaha hatariHapa mnaweza laumu Kuwa wanaume hawatulii, hawali kwa wake zao n.k kumbe ni utamu wa vitumbua kama hivi. Ukikiona tu kwa nje unatamani ukile... Kimetuna, Kisafi kina mvuto.
Tuelekezane mapishi haya tafadhali kwa wajuzi. Ukinionesha mwanamke mwenye kitumbua kama hiki... Ntamfata popote nikile.
View attachment 808137