😀😀😀Nmeweka na picha kabisa mkuu. Au haija display kwako? Dont trouble troubles till troubles trouble you.
sasa huu ni uchoyo na kuna uwezekano ukala na mende au konokono kama mzee matolaVitumbua ukila asubuhi utalala kazini kwa uchovu, vyenyewe vinaliwa usiku tu tena wakati watu, majirani, watoto, wakwe, wamelala. Unakula taratibu bila kupiga kelele ndiyo inapendeza zaidi.