Kuna Wapuuzi wataiamini hii Kauli ya Kiunafiki ya Kocha Mkuu wa Marumo Gallants FC kuelekea Mechi yao ya CAFCC

Kuna Wapuuzi wataiamini hii Kauli ya Kiunafiki ya Kocha Mkuu wa Marumo Gallants FC kuelekea Mechi yao ya CAFCC

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
" Kama kuna Timu naiogopa na Mchezaji Hatari kwa sasa Africa basi ni ya Yanga SC na Fiston Mayele. Hakika wako vizuri sana na Mayele atawafikisha mbali kwa Umahiri wake wa Ufungaji na ana uwezo wa hata Kucheza Timu Kubwa Uingereza na Kwingineko Ulaya" Dylan Keir Kocha Mkuu wa Timu ya Marumo Gallants FC.

Yaani kuna Wazungu wanajua kweli kufanya Mind Game, Kusanifu na Kudharau Watu na najua kwa hiki alichokisema kuna Wapuuzi FC wataifurahia, watabweteka na hii Taarifa wataisambaza kote kote na Kujivunia nayo wakati wenye Akili Kubwa tunajua Watafungwa Tanzania na Kwao Afrika Kusini.

Kudadadeki......!!!!!!
 
" Kama kuna Timu naiogopa na Mchezaji Hatari kwa sasa Africa basi ni ya Yanga SC na Fiston Mayele. Hakika wako vizuri sana na Mayele atawafikisha mbali kwa Umahiri wake wa Ufungaji na ana uwezo wa hata Kucheza Timu Kubwa Uingereza na Kwingineko Ulaya" Dylan Keir Kocha Mkuu wa Timu ya Marumo Gallants FC.

Yaani kuna Wazungu wanajua kweli kufanya Mind Game, Kusanifu na Kudharau Watu na najua kwa hiki alichokisema kuna Wapuuzi FC wataifurahia, watabweteka na hii Taarifa wataisambaza kote kote na Kujivunia nayo wakati wenye Akili Kubwa tunajua Watafungwa Tanzania na Kwao Afrika Kusini.

Kudadadeki......!!!!!!
Hili jamaa hivi lina watoto nyumbani kwake kweli? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tatzo leo vichwa vyenu vinegar NZI tukiwafunga hao Waume zenu mtajaza server ya JF kwa kusema MARUMO ni timu dhaifu.Elewekeni tuwajue mapema
 
Nimegundua wewe ndiye unayeanzisha vurugu kwenye familia ya Mkono baadae unaomba Rais aingilie kesi za familia. Yaani Rais wa nchi aingilie petty issues za marehemu azikwe wapi? Kwa akili hizi lazima uwe mfitini na mchonganishi
 
Hili jamaa hivi lina watoto nyumbani kwake kweli? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani ulivyonichanulia chanu Miguu yako na Kukuumua Tumbo lako baada ya ile Miezi Kenda / Tisa ulinizalia Matofali?
 
Ni sisi mashabiki tu ndio huwa tunahadaika na kauli kama hizi kwa sababu wengi wetu uelewa wa mpira ni mdogo sana. Lakini ukija huko kwenye kambi ya Yanga wanakua wanaelewa nini Kerr anamaanisha.

Halafu naomba nikumbushwe huyu kocha wa Marumo Galant Dylan Kerr si ashawahi kufundisha makolo kipindi fulani. Nakumbuka Pre season aliwapeleka Tanga wakawa wana train kwenye mvua na vijilima wakaanza kumuona hafai na akafanyiwa figisu akaondolewa huyu.
 
" Kama kuna Timu naiogopa na Mchezaji Hatari kwa sasa Africa basi ni ya Yanga SC na Fiston Mayele. Hakika wako vizuri sana na Mayele atawafikisha mbali kwa Umahiri wake wa Ufungaji na ana uwezo wa hata Kucheza Timu Kubwa Uingereza na Kwingineko Ulaya" Dylan Keir Kocha Mkuu wa Timu ya Marumo Gallants FC.

Yaani kuna Wazungu wanajua kweli kufanya Mind Game, Kusanifu na Kudharau Watu na najua kwa hiki alichokisema kuna Wapuuzi FC wataifurahia, watabweteka na hii Taarifa wataisambaza kote kote na Kujivunia nayo wakati wenye Akili Kubwa tunajua Watafungwa Tanzania na Kwao Afrika Kusini.

Kudadadeki......!!!!!!
Siyo huyo tu hata kocha wa vipers kaongea.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mind game hizo .....Acha waje tumalizane now hapa Dar kwanza......3_ 1 then twende kwao......tufungwe bao 1 ......yaishe
 
Back
Top Bottom