Kuna warembo hawanunuliki. Imagine huyu alikataa 100M TZS!

Kuna warembo hawanunuliki. Imagine huyu alikataa 100M TZS!

Nimeacha Kusoma baada ya Kusema "MAKANISA YA KIROHO" huko hakunaga Ukweli wowote na Wala Usiamini Hao watu maana. wengi wao wamepotoka na Wanafanya mambo kuvutia Watu waingie kwenye Udanganyifu wao wawachote akili wawapige hela wanunue Range na Prado
 
Huyo Don alikuw anasifika ana ngoma. Ila wapo watu wenye msimamo sishangai. .

Hata mie nilikataa dili la kuuza dawa za kutoa mimba, ungekuta sasa ni Don. Believe in your principles. .
 
Huo ushihuda ulikua unahusiana na nin haswa? Yaan alienda kushuhudia kukataa bakshishi ili atoe nyapu au kuna jingine??
Maana hata mimi juzi kati nliona dem anajifanya motivesheno spika na kuwaambia watu kua yeye ni pisi kali wakati sura tu ni ya jioni na shepu ni bagia.
Sasa huyo wako alienda kutafuta nin hapo?
 
Habari, leo nilitembelea moja ya makanisa ya kiroho hapa Dar. Ibada ilikwenda vizuri ila mwishoni mama mchungaji ambaye ni binti wa miaka kati ya 30-32 alitoa neno.

Huyu ni binti mweupe, mrefu na mwenye shape yake, ni mzuri kiukweli, tena sana kwenye kila angle.
Kikubwa ni binti asiyeringa na hana majivuno, kuanzia kwenye kuongea na watu mpaka maisha yake kwa ujumla.

Sasa lililonishangaza na kuamini kuna wanawake warembo wana misimamo ni hili,

Anasema alipokuwa chuo kikuu(UDSM) alipata usumbufu mno kutoka kwa Wahadhiri wake, sana. Pia baada ya kumaliza na kuanza kazi ofisini alisumbuliwa mno na mabosi na watu wazito baadhi wa nchi hii.

Anasema alikataa ofa ya 100m TZS kwa wakati huo ili akubali ku date na don fulani. Hapa ndipo pamefanya nimpe credits 98% mrembo huyu.

Aisee kuna warembo hawanunuliki kwa chochote.
ukiwa mlokole ndio maana unadharaulika,maana unakuwa mpumbavu,acha upumbavu!
 
Habari, leo nilitembelea moja ya makanisa ya kiroho hapa Dar. Ibada ilikwenda vizuri ila mwishoni mama mchungaji ambaye ni binti wa miaka kati ya 30-32 alitoa neno.

Huyu ni binti mweupe, mrefu na mwenye shape yake, ni mzuri kiukweli, tena sana kwenye kila angle.
Kikubwa ni binti asiyeringa na hana majivuno, kuanzia kwenye kuongea na watu mpaka maisha yake kwa ujumla.

Sasa lililonishangaza na kuamini kuna wanawake warembo wana misimamo ni hili,

Anasema alipokuwa chuo kikuu(UDSM) alipata usumbufu mno kutoka kwa Wahadhiri wake, sana. Pia baada ya kumaliza na kuanza kazi ofisini alisumbuliwa mno na mabosi na watu wazito baadhi wa nchi hii.

Anasema alikataa ofa ya 100m TZS kwa wakati huo ili akubali ku date na don fulani. Hapa ndipo pamefanya nimpe credits 98% mrembo huyu.

Aisee kuna warembo hawanunuliki kwa chochote.
Muongo hyo mwambie akuambie aongee vizur otherwise na yeye alikuwa na Zaid ya hyo pesa kwenye account yake lakin kama alikuwa na lak jamaa alimula au anaongezee chumvi!
 
Anasema alikataa ofa ya 100m TZS kwa wakati huo ili akubali ku date na don fulani. Hapa ndipo pamefanya nimpe credits 98% mrembo huyu.

Aisee kuna warembo hawanunuliki kwa chochote.
Hongera sana kwake ...👏👏...mabinti wengine waige tabia yake
 
Yaani mtu kuongea madhabahuni ndio kaongea ukweli.

Kuna wachungaji wanatoka kumbato na majanaba na still wamaoamba madhabahuni.

Bado hujawaelewa binadamu ndugu yangu.
 
Kwamba alikataa sio ni 50% ila kwakuwa ni mazanahuni nyie mnatakiwa muamini tuu
 
Stori za online tv zimehamia madhabahuni
 
Back
Top Bottom