ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Unashangaa nini? Una mke wako mzuri wa sura Na umbo, elimu, tabia njema, maarifa na akili za juu sana, mpole na mnyenyekevu lakini Bado unaenda kutembea na House girl mbayaaaaa kama zimwi, hana heshipu, mchafu na kitandani gogo, ananuka kuwapa na papuchi kwa wakati mmojaKweli bado tuna safari ndefu waafrika ili angalau tuje wakaribia hao walioko mbele
Bado watu wengi hawajitambui mpaka kufikia karne hii!! Hatari sana.. nadhani kuna tofauti sana kati ya kuujua mpira, kuupenda na ushabiki...
Mungu tusaidie...
Ndondo cup haina shida sana bado inawatazamaji kutokana na ladha na vionjo mbalimbali vya mashindano na ilishaanza mda tu kabla ya world cupKagame Na Ndondo cup wamekosea timing ya kuanzisha mashindano yao
Siku Simba wanacheza na Singida kulikuwa na mechi gani world cupNdondo cup haina shida sana bado inawatazamaji kutokana na ladha na vionjo mbalimbali vya mashindano na ilishaanza mda tu kabla ya world cup
Kagame wamebugi jana nilikua bandari kwenye ndondo cup nafikiri palijaa kuliko taifa kwenye Simba na Singida
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Unashanga watu kutazama Kagame CUP, wakati kesho Ijumaa kuna Wanaume watangalia SHILAWADU watacha kuangalia game ya Brazil vs Belgium...
[emoji23] [emoji23] wewe wajua hadi muda wa kipindiUnashanga watu kutazama Kagame CUP, wakati kesho Ijumaa kuna Wanaume watangalia SHILAWADU watacha kuangalia game ya Brazil vs Belgium...
Kweli bado tuna safari ndefu waafrika ili angalau tuje wakaribia hao walioko mbele
Bado watu wengi hawajitambui mpaka kufikia karne hii!! Hatari sana.. nadhani kuna tofauti sana kati ya kuujua mpira, kuupenda na ushabiki...
Mungu tusaidie...
umeandika ukweli uliojaa sana Mwembe yanga !Kweli bado tuna safari ndefu waafrika ili angalau tuje wakaribia hao walioko mbele
Bado watu wengi hawajitambui mpaka kufikia karne hii!! Hatari sana.. nadhani kuna tofauti sana kati ya kuujua mpira, kuupenda na ushabiki...
Mungu tusaidie...
Hao wana akili ya utambuzi mara kumi ya kwako!Tulikuwa banda umiza kuna mechi ya Simba vs APR na tv nyingine Brazil vs Mexico, kuna jamaa walikuwa wamekomaa na mechi ya Simba tu na baada ya hiyo mechi walinyanyuka na kuondoka, sikuamini macho yangu!!
Kuwa na adabu.Unashangaa nini? Una mke wako mzuri wa sura Na umbo, elimu, tabia njema, maarifa na akili za juu sana, mpole na mnyenyekevu lakini Bado unaenda kutembea na House girl mbayaaaaa kama zimwi, hana heshipu, mchafu na kitandani gogo, ananuka kuwapa na papuchi kwa wakati mmoja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unashanga watu kutazama Kagame CUP, wakati kesho Ijumaa kuna Wanaume watangalia SHILAWADU watacha kuangalia game ya Brazil vs Belgium...