Kuna watu ambao hawapati maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (VVU)

Kuna watu ambao hawapati maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (VVU)

Lipo kundi dogo la watu duniani ambalo hawawezi kupata VVU hata waongezewe Damu yenye VVU. Watu Hawa niwachache Sana pia hapa Tanzania wapo. Group la Damu halihusiani Ila kinachohusika Ni kingamwili .

Watu Hawa kimsingi Kinga mwili zao Zina udhaifu fulani hivi , wa kutokupambana na magonjwa ndio pona pona Yao.

UKIMWI UNAVYOINGIA MWILINI
Baada ya VVU kuingia katika mfumo wa damu Kinga imara za mwili zinaanza mpambano Mara moja (Muulize MTU mwenye VVU alihisije katika Wiki tatu za mwanzo za maambuki) mpambano huu huanza baada ya saa 72.

Kwakuwa seli zinapambana na VVU kwa mtindo wa kukumbatia na kufungia VVU zinachukua Kama faida kutumia seli hizo hizo za magonjwa kujiimarisha na kuishi ndani ya mwili. HII INA MAANA KUWA KAMA SELI ZA KUPAMBANA NA MAGONJWA HAZITAPAMBANA NA VVU VILIVYOINGIA MWILINI HUTOPATA UGONJWA HUO
hapa tunaweza kuhitimisha kuwa kadri Kinga zako zitakuwa Active ndio utaufanya VVU vijikite kwa haraka zaidi.

Nyongeza: Chanjo yakuzuia maambukizi ikiwa MTU amejiweka katika hatari hugs kazi chini ya saa 72 tangu uingie kwenye hatari hiyo, mechanism inavyofanyika nikuzifanya seli Kinga zako kutokuona VVU VILIVYOINGIA MWILINI Kama adui (ugonjwa) na hivyo Hakuna mpambano nahiyo ndio pona yako.

Namshukuru Mungu Ada ya wazazi wangu haukuenda Bure.
Kwanini tusiwatumie kama kinga kwa wengine?
 
Hii issue ngumu kuelezea ila ukweli nimedate na mwanamke miaka miwili,tumekaa chumba kimoja mwaka mzima situmii kinga kumbe mwathirika tangu 2019,ila sijapata na nimepina mara 3 na sasa wakashauri kutumia PREP ,tunamtoto mwaka mmoja na miezi 3 mzima kabisa
Huyo atakua alipata Miezi ya karibu sio miaka 2 iliyopita,
 
Hii Ni book cover na imeandikwa na MTU mwenye Elimu ambayo kwenye ukoo wenu wote hakuna na hakutakuja kuwa na mtu atakayeweza kufikia kiwango chake Cha elimu
Muhaya hata akijifunika blanket la kilo 12 asionekane hata ukucha wake. Bado atajipambanua tu ili ajulikane.
 
Ndiyo alikuwa anatumia dawa tangu 2019 mimi nimeanza mahusiano nae 2022 wa nane
Kama mtu ametumia dawa vizuri,virusi vinafubaa na vinakuwa havionekani tena kwenye damu,hivyo hata ukitembea na huyo mtu huwezi kupata VVU,ila hakikisha na wewe unamsimamia unywaji wa hizo dawa kwani akijidanganya kuacha tu utaupata asubuhi kweupee......
 
Kama mtu ametumia dawa vizuri,virusi vinafubaa na vinakuwa havionekani tena kwenye damu,hivyo hata ukitembea na huyo mtu huwezi kupata VVU,ila hakikisha na wewe unamsimia unywaji wa hizo dawa kwani akijidanganya kuacha tu utaupata asubuhi kweupee......
Niliambiwa hivyo na daktari nisimamie kwa kumkumbusha kunywa,pia nilipewa dawa Kinga alimaarufu kama Prep ili kuimarisha kinga yangu zaidi dhidi ya HIV
 
Lipo kundi dogo la watu duniani ambalo hawawezi kupata VVU hata waongezewe Damu yenye VVU. Watu Hawa niwachache Sana pia hapa Tanzania wapo. Group la Damu halihusiani Ila kinachohusika Ni kingamwili .

Watu Hawa kimsingi Kinga mwili zao Zina udhaifu fulani hivi , wa kutokupambana na magonjwa ndio pona pona Yao.

UKIMWI UNAVYOINGIA MWILINI
Baada ya VVU kuingia katika mfumo wa damu Kinga imara za mwili zinaanza mpambano Mara moja (Muulize MTU mwenye VVU alihisije katika Wiki tatu za mwanzo za maambuki) mpambano huu huanza baada ya saa 72.

Kwakuwa seli zinapambana na VVU kwa mtindo wa kukumbatia na kufungia VVU zinachukua Kama faida kutumia seli hizo hizo za magonjwa kujiimarisha na kuishi ndani ya mwili. HII INA MAANA KUWA KAMA SELI ZA KUPAMBANA NA MAGONJWA HAZITAPAMBANA NA VVU VILIVYOINGIA MWILINI HUTOPATA UGONJWA HUO
hapa tunaweza kuhitimisha kuwa kadri Kinga zako zitakuwa Active ndio utaufanya VVU vijikite kwa haraka zaidi.

Nyongeza: Chanjo yakuzuia maambukizi ikiwa MTU amejiweka katika hatari hugs kazi chini ya saa 72 tangu uingie kwenye hatari hiyo, mechanism inavyofanyika nikuzifanya seli Kinga zako kutokuona VVU VILIVYOINGIA MWILINI Kama adui (ugonjwa) na hivyo Hakuna mpambano nahiyo ndio pona yako.

Namshukuru Mungu Ada ya wazazi wangu haukuenda Bure.
Nlisikia mahali watu wenye selimundu huwa hawawezi kuambukizwa ukimwi
 
Lipo kundi dogo la watu duniani ambalo hawawezi kupata VVU hata waongezewe Damu yenye VVU. Watu Hawa niwachache Sana pia hapa Tanzania wapo. Group la Damu halihusiani Ila kinachohusika Ni kingamwili .

Watu Hawa kimsingi Kinga mwili zao Zina udhaifu fulani hivi , wa kutokupambana na magonjwa ndio pona pona Yao.

UKIMWI UNAVYOINGIA MWILINI
Baada ya VVU kuingia katika mfumo wa damu Kinga imara za mwili zinaanza mpambano Mara moja (Muulize MTU mwenye VVU alihisije katika Wiki tatu za mwanzo za maambuki) mpambano huu huanza baada ya saa 72.

Kwakuwa seli zinapambana na VVU kwa mtindo wa kukumbatia na kufungia VVU zinachukua Kama faida kutumia seli hizo hizo za magonjwa kujiimarisha na kuishi ndani ya mwili. HII INA MAANA KUWA KAMA SELI ZA KUPAMBANA NA MAGONJWA HAZITAPAMBANA NA VVU VILIVYOINGIA MWILINI HUTOPATA UGONJWA HUO
hapa tunaweza kuhitimisha kuwa kadri Kinga zako zitakuwa Active ndio utaufanya VVU vijikite kwa haraka zaidi.

Nyongeza: Chanjo yakuzuia maambukizi ikiwa MTU amejiweka katika hatari hugs kazi chini ya saa 72 tangu uingie kwenye hatari hiyo, mechanism inavyofanyika nikuzifanya seli Kinga zako kutokuona VVU VILIVYOINGIA MWILINI Kama adui (ugonjwa) na hivyo Hakuna mpambano nahiyo ndio pona yako.

Namshukuru Mungu Ada ya wazazi wangu haukuenda Bure.
Nilidhani nipo peke yangu kumbe tuko wengi
 
Back
Top Bottom