zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Unamla kavukavu halafu fresh kabisaNdiyo alikuwa anatumia dawa tangu 2019 mimi nimeanza mahusiano nae 2022 wa nane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamla kavukavu halafu fresh kabisaNdiyo alikuwa anatumia dawa tangu 2019 mimi nimeanza mahusiano nae 2022 wa nane
Noma sana!Hapana huu niukweli wa kitaalam, huyo unayemzungumzia hawezi kujua maarifa Kama haya
Kwanini tusiwatumie kama kinga kwa wengine?Lipo kundi dogo la watu duniani ambalo hawawezi kupata VVU hata waongezewe Damu yenye VVU. Watu Hawa niwachache Sana pia hapa Tanzania wapo. Group la Damu halihusiani Ila kinachohusika Ni kingamwili .
Watu Hawa kimsingi Kinga mwili zao Zina udhaifu fulani hivi , wa kutokupambana na magonjwa ndio pona pona Yao.
UKIMWI UNAVYOINGIA MWILINI
Baada ya VVU kuingia katika mfumo wa damu Kinga imara za mwili zinaanza mpambano Mara moja (Muulize MTU mwenye VVU alihisije katika Wiki tatu za mwanzo za maambuki) mpambano huu huanza baada ya saa 72.
Kwakuwa seli zinapambana na VVU kwa mtindo wa kukumbatia na kufungia VVU zinachukua Kama faida kutumia seli hizo hizo za magonjwa kujiimarisha na kuishi ndani ya mwili. HII INA MAANA KUWA KAMA SELI ZA KUPAMBANA NA MAGONJWA HAZITAPAMBANA NA VVU VILIVYOINGIA MWILINI HUTOPATA UGONJWA HUO
hapa tunaweza kuhitimisha kuwa kadri Kinga zako zitakuwa Active ndio utaufanya VVU vijikite kwa haraka zaidi.
Nyongeza: Chanjo yakuzuia maambukizi ikiwa MTU amejiweka katika hatari hugs kazi chini ya saa 72 tangu uingie kwenye hatari hiyo, mechanism inavyofanyika nikuzifanya seli Kinga zako kutokuona VVU VILIVYOINGIA MWILINI Kama adui (ugonjwa) na hivyo Hakuna mpambano nahiyo ndio pona yako.
Namshukuru Mungu Ada ya wazazi wangu haukuenda Bure.
Huyo atakua alipata Miezi ya karibu sio miaka 2 iliyopita,Hii issue ngumu kuelezea ila ukweli nimedate na mwanamke miaka miwili,tumekaa chumba kimoja mwaka mzima situmii kinga kumbe mwathirika tangu 2019,ila sijapata na nimepina mara 3 na sasa wakashauri kutumia PREP ,tunamtoto mwaka mmoja na miezi 3 mzima kabisa
Muhaya hata akijifunika blanket la kilo 12 asionekane hata ukucha wake. Bado atajipambanua tu ili ajulikane.Hii Ni book cover na imeandikwa na MTU mwenye Elimu ambayo kwenye ukoo wenu wote hakuna na hakutakuja kuwa na mtu atakayeweza kufikia kiwango chake Cha elimu
Kama mtu ametumia dawa vizuri,virusi vinafubaa na vinakuwa havionekani tena kwenye damu,hivyo hata ukitembea na huyo mtu huwezi kupata VVU,ila hakikisha na wewe unamsimamia unywaji wa hizo dawa kwani akijidanganya kuacha tu utaupata asubuhi kweupee......Ndiyo alikuwa anatumia dawa tangu 2019 mimi nimeanza mahusiano nae 2022 wa nane
Wana kadi za mahudhurio uache ubishi,nimeona na nimeshaenda nae mara kibaoHuyo atakua alipata Miezi ya karibu sio miaka 2 iliyopita,
Niliambiwa hivyo na daktari nisimamie kwa kumkumbusha kunywa,pia nilipewa dawa Kinga alimaarufu kama Prep ili kuimarisha kinga yangu zaidi dhidi ya HIVKama mtu ametumia dawa vizuri,virusi vinafubaa na vinakuwa havionekani tena kwenye damu,hivyo hata ukitembea na huyo mtu huwezi kupata VVU,ila hakikisha na wewe unamsimia unywaji wa hizo dawa kwani akijidanganya kuacha tu utaupata asubuhi kweupee......
Nlisikia mahali watu wenye selimundu huwa hawawezi kuambukizwa ukimwiLipo kundi dogo la watu duniani ambalo hawawezi kupata VVU hata waongezewe Damu yenye VVU. Watu Hawa niwachache Sana pia hapa Tanzania wapo. Group la Damu halihusiani Ila kinachohusika Ni kingamwili .
Watu Hawa kimsingi Kinga mwili zao Zina udhaifu fulani hivi , wa kutokupambana na magonjwa ndio pona pona Yao.
UKIMWI UNAVYOINGIA MWILINI
Baada ya VVU kuingia katika mfumo wa damu Kinga imara za mwili zinaanza mpambano Mara moja (Muulize MTU mwenye VVU alihisije katika Wiki tatu za mwanzo za maambuki) mpambano huu huanza baada ya saa 72.
Kwakuwa seli zinapambana na VVU kwa mtindo wa kukumbatia na kufungia VVU zinachukua Kama faida kutumia seli hizo hizo za magonjwa kujiimarisha na kuishi ndani ya mwili. HII INA MAANA KUWA KAMA SELI ZA KUPAMBANA NA MAGONJWA HAZITAPAMBANA NA VVU VILIVYOINGIA MWILINI HUTOPATA UGONJWA HUO
hapa tunaweza kuhitimisha kuwa kadri Kinga zako zitakuwa Active ndio utaufanya VVU vijikite kwa haraka zaidi.
Nyongeza: Chanjo yakuzuia maambukizi ikiwa MTU amejiweka katika hatari hugs kazi chini ya saa 72 tangu uingie kwenye hatari hiyo, mechanism inavyofanyika nikuzifanya seli Kinga zako kutokuona VVU VILIVYOINGIA MWILINI Kama adui (ugonjwa) na hivyo Hakuna mpambano nahiyo ndio pona yako.
Namshukuru Mungu Ada ya wazazi wangu haukuenda Bure.
Ndo maana hukupata.anaetumia dawa haambukizi.ila ana roho ngumu kwanini hakukuambia jamani?Ndiyo alikuwa anatumia dawa tangu 2019 mimi nimeanza mahusiano nae 2022 wa nane
Bado uko nae??Niliambiwa hivyo na daktari nisimamie kwa kumkumbusha kunywa,pia nilipewa dawa Kinga alimaarufu kama Prep ili kuimarisha kinga yangu zaidi dhidi ya HIV
Nilidhani nipo peke yangu kumbe tuko wengiLipo kundi dogo la watu duniani ambalo hawawezi kupata VVU hata waongezewe Damu yenye VVU. Watu Hawa niwachache Sana pia hapa Tanzania wapo. Group la Damu halihusiani Ila kinachohusika Ni kingamwili .
Watu Hawa kimsingi Kinga mwili zao Zina udhaifu fulani hivi , wa kutokupambana na magonjwa ndio pona pona Yao.
UKIMWI UNAVYOINGIA MWILINI
Baada ya VVU kuingia katika mfumo wa damu Kinga imara za mwili zinaanza mpambano Mara moja (Muulize MTU mwenye VVU alihisije katika Wiki tatu za mwanzo za maambuki) mpambano huu huanza baada ya saa 72.
Kwakuwa seli zinapambana na VVU kwa mtindo wa kukumbatia na kufungia VVU zinachukua Kama faida kutumia seli hizo hizo za magonjwa kujiimarisha na kuishi ndani ya mwili. HII INA MAANA KUWA KAMA SELI ZA KUPAMBANA NA MAGONJWA HAZITAPAMBANA NA VVU VILIVYOINGIA MWILINI HUTOPATA UGONJWA HUO
hapa tunaweza kuhitimisha kuwa kadri Kinga zako zitakuwa Active ndio utaufanya VVU vijikite kwa haraka zaidi.
Nyongeza: Chanjo yakuzuia maambukizi ikiwa MTU amejiweka katika hatari hugs kazi chini ya saa 72 tangu uingie kwenye hatari hiyo, mechanism inavyofanyika nikuzifanya seli Kinga zako kutokuona VVU VILIVYOINGIA MWILINI Kama adui (ugonjwa) na hivyo Hakuna mpambano nahiyo ndio pona yako.
Namshukuru Mungu Ada ya wazazi wangu haukuenda Bure.
Group la damu halihusiani ata kidogo. Ni ujinga unawasumbua. 0 +ve watu weusi asilimia kubwa ndio group letu. Na ukimwi unatumaliza. Sijui mnasomaga wapi!!oRH+ mostly
Watu Ni wajinga sanaGroup la damu halihusiani ata kidogo. Ni ujinga unawasumbua. 0 +ve watu weusi asilimia kubwa ndio group letu. Na ukimwi unatumaliza. Sijui mnasomaga wapi!!
Sijakuelewa kakaUkishapima mara tatu kwa range ya miezi mitatu mitatu
Mbona unahasira sana. Nin shidaWewe ndio waki
NdiyoBado uko nae??
KimemuozeaKIDAGAA