Kuna watu ambao hawapati maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (VVU)

usijisifu. wew mchunguze vizuri huyo baby mama wako. isijekuwa mwenzio kakuficha anakunywa dawa za hiv kwa kificho. vinginevo angeshakuachia asbh tu. salama yako wewe ni hizo dawa anazokunywa bila kukuambia. kaa naye muongee vizuri atakuweka wazi kwa hili. wengi tu wanao na hawasemi maana wakisema mnawakimbia.
 
Kwaiyo wanakaa kimya ili wasikimbiwe
 
Umekurupula soma comments zote nayote vizuri
 
Wapo lakini wachache 1/1000
ni mmoja kati ya watu elf moja na jamii nyingi ya watu hawa wako West Africa😎
 
Nitajuaje kana
Nikiendelea kupekua historia yangu kuhusu hizi pilika za kugegeda najiona na mimi ni miongoni mwa hao uliowataja, maana kati ya niliowashenyeta wengine wamedanja kwa ngoma
Hata Mimi nadhani ni mmoja wao.. Mana historia yangu ni mbaya mno.. Ila kila nikipima ni negative..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…