Kuna watu hufa mara mbili

Kuna watu hufa mara mbili

Inatokea hata kwenye kuosha maiti. Baadhi zinafanya hivyo. Unairudisha vizuri na kuilaza.
 
Yeuwii najuta soma hii post,najitisha hapa had nataman piga kelele na usingiz ndo umegoma basi nipo deep mawazuu
 
nakubalina na ww mtoa mada kwa asilimia mia haya mamb ypo mfano kuna msiba wa bibi mmoja ulitokea moshi bac saa ya kuaga watu wameaga ikawa imefika zamu ya bibi mmoja kuaga bac ile kufika pale kweny jeneza anatazama maiti tu ile mait ya yule bibi ikafumbua macho wakatazaman face to face then alipopita tu ile maiti ikaendelea kufumba macho...hii nilipata bahat ya kuwa shuhuda kwa tukio hili nilibahatik kulilikodi kweny video camera nilikuwa km camera man bac ckujua maana ya tukio hili kabisa ila nilijarib rewind hile mini dive na nikaona ni kweli yule bibi alifumbua macho kabixa ...


Tuwekee hako ka clip basi. Maiti zina swaga kibao.
 
Inawezekana kabisa japo ni kitu kibaya mno hii inatokana na uzoefu wa kazi anakuwa amehudumu muda mrefu kwenye sekta kiasi kwamba anakuwa na uwezo wa kusoma nyuso zinazokaribia kufa

hii ya kusoma uso wa mtu kwa mara ya kwanza niliipata siku kaka angu alipokuwa anakaribia kufa, shemeji yaani mke wake alitamka wazi kuwa bro anakufa, hatukuamini na kweli akafa, baada ya kumuandaa ikabidi tumuulize alijuaje akatuambia kuwa kwenye paji la uso huwa panaanza kuwa na ung'aavu fulani mtu anapokufa, hii dunia ni zaidi ya tuijuavyo wakuu
 
hii ya kusoma uso wa mtu kwa mara ya kwanza niliipata siku kaka angu alipokuwa anakaribia kufa, shemeji yaani mke wake alitamka wazi kuwa bro anakufa, hatukuamini na kweli akafa, baada ya kumuandaa ikabidi tumuulize alijuaje akatuambia kuwa kwenye paji la uso huwa panaanza kuwa na ung'aavu fulani mtu anapokufa, hii dunia ni zaidi ya tuijuavyo wakuu

Nampongeza kwa ujasiri mwingine angekaa kimya kuhofia kusemwa vibaya na ndugu
 
hz mambo hta ukizisma mchna lazma uogp t ..mshana jr malizia pakg yot mkuu nahs kuna mwanga nawez pt kwny hay mamb
 
hz mambo hta ukizisma mchna lazma uogp t ..mshana jr malizia pakg yot mkuu nahs kuna mwanga nawez pt kwny hay mamb

Huwa tunatishika na kuogopa kifo kwa kuwa tu tumenyimwa kujua kwa hakika tunaenda wapi
Yani tuko wote tunapiga stori na kuongea mengi lakini ghafla nanyamaza kimya siongei tena sisogei wala kufanya chochote nimenyamaza milele hutaniona tena
Hii ni Sanaa ya kifo ni fumbo mwanadamu aliloshindwa kulifumbua sasa kwa kuwa tunajua kuwa mtu akifa ndio amekufa haamki tena ni lazima upate mshtuko ukiniona nimesimama tena na unaweza kuzirai kama si kutimua mbio
 
siku nyingine msiipige teke ila muisindikize hadi mwisho wa safari yake ili kujua zinaendaga wapi.
 
siku nyingine msiipige teke ila muisindikize hadi mwisho wa safari yake ili kujua zinaendaga wapi.

Haziendi popote usumbufu tu usio na maana ukiiacha hata mlangoni haifiki inaanguka sasa nani anataka shida ya kuanza kubebana na mzoga! !unaipiga stop hapo hapo inaponyanyukia
 
mshana jr
mkuu ungeweka hiyo link hapa au nialike na mimi ningependa kufahamu mengi juu ya field
 
Back
Top Bottom