Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,697
- 15,497
Nilishashuhudia mchawi anakufa siku tatu
Mkuu hivi visa unavipeleka kwa style ya katerero...huimalizii unawaacha watu na hamu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilishashuhudia mchawi anakufa siku tatu
Nilishashuhudia mchawi anakufa siku tatu
Kuna mchawi mmoja tangia mwaka Jana anaumwa na kutamka wote aliowaua. Anaumwa hadi hospital walimrudisha nyumbani. Analia kua anaungua. Aliteseka huyo witch kafa mwezi wa NNE. Shida tupu aisee.
Pendael24 kuna roho halafu kuna mwili halafu kuna ufahamu!huu ufahamu ndio kila kitu ni energy ambayo haifi
Niweke sawa kidogo kwenye hivi vitu vitatu ulivyosema hapa? Ufahamu haufi Ki vipi? Na baada ya mwili kuozo na roho kuacha mwili ufahamu unaenda wapi?
Aaaah tutalala na wenge bana kesho tuiongee
​Nimecheka sana aisee dah!