Et we ulipokua unasoma uliosoma nao wote ulikua karibu nao,wengine si mnakutana tu mnasalimiana tu basi,,sasa ye akagawa namba nikawa napigiwa na watu mi nishawasahau jamanii aliniudhiii aiseeHahahahaha
Leo una agenda na mbavu zangu
Ni mdada sio mwanaumeKabla ya kutupia nyavu ili kuuvua moyo wako lazima mtu azungushe mastori ili kujua dish ya kukubaliwa imecheza ama iko poa.
kwahiyo kama upo single vumilia vinginevyo utakuja kumegwa na waume za watu ambao ndiyo wana saikolojia ya wanawake. hivyo kuendana na mood yako wanaweza.
Usikute mwenzio kila alokutana ane aliwaambia ulipo na akalazimishia kuwapa no yakoEt we ulipokua unasoma uliosoma nao wote ulikua karibu nao,wengine si mnakutana tu mnasalimiana tu basi,,sasa ye akagawa namba nikawa napigiwa na watu mi nishawasahau jamanii aliniudhiii aisee
Basi sawa,lakini mbona ukaingia mitini?,nilitaka nikupeleke Tunza beach,halafu tukamalizie kule Malaika ili tukapate Tepanyaki Japanese grill na cocktail,baada ya hapo uamuzi ni wako mamii.Hapana ni mdada
Bossman uko standoffish?Ukiwazoesha watu hivyo...
sisi wengine mtu hadi akuletee story hizo anajishauri mara mbili
Twende kesho tukaogelee Eden ,pale malaika naogopa swimming pool yao ndefu halaf ipo karibu na ziwaniBasi sawa,lakini mbona ukaingia mitini?,nilitaka nikupeleke Tunza beach,halafu tukamalizie kule Malaika ili tukapate Tepanyaki Japanese grill na cocktail,baada ya hapo uamuzi ni wako mamii.
Mim zamani nilikua napendwa sana na watu nnaosoma nao sasa tushakua huwezi kua karibu na kila mtu watakuchanganya akili,na pia wengine mi nishawasahauUsikute mwenzio kila alokutana ane aliwaambia ulipo na akalazimishia kuwapa no yako
Bahati yako hakukuunga kwenye group za whatssapp na telegram
Dina,sasa naona unataka tumwage mchele kwenye kuku wengi jamanitungeyamalizia kule kule tu au?Twende kesho tukaogelee Eden ,pale malaika naogopa swimming pool yao ndefu halaf ipo karibu na ziwani
Na Uk umetoka lini?
Ni kweli cyo kila mtu uliesoma nae lazima upige nae story, wengine ni salamu tu inatoshaEt we ulipokua unasoma uliosoma nao wote ulikua karibu nao,wengine si mnakutana tu mnasalimiana tu basi,,sasa ye akagawa namba nikawa napigiwa na watu mi nishawasahau jamanii aliniudhiii aisee
Daah,sio Ukara? au Busisi,Karumo,Uzinza,Kigoto,Rubondo ?Si ukerewe kwenye samaki bana