Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una wivu kumzidi alomzaa umuwachee
Naanzaje sasa kumuacha ngosha wangu?Una wivu kumzidi alomzaa umuwachee
Aah kuleni tu mkimaliza muoshe vizuri rungu hilo nami nilitumie....Hhheeee wenzio wala taratibu [emoji23]
umependa nini?Nimependa tu hapo kwenye formula za hesabu.
He hee kutangulia sio kufika lakiniInabidi wivu uukate sasa usijeishia liona hilo rungu jf tu wenzio wanalila live[emoji23]
Kikubwa ni kufika hata kwakuchelewa[emoji108]Unaweza kufika lakin ukawa hujatangulia [emoji23]
Sasa kama hapa mawazo yangu yapo kwingine kuna mtu apa ananisemesha semesha tu mpaka naona kero yaninoma sana huyo akija tuu natembea na yesu