Kuna watu hukera aisee

Muda gani sasa unakuwa na mood ya kupiga Story???
Kuna muda upo tu na unipe story ambazo nami naweza kuchangia bana mfano tuongelee siasa,michezo,sasa we unaanza kunisimulia formula za hesabu,mara mtihan mgumu sana kulikua naformula hii na hiii aiseee
 
Ni ndugu yangu hua ananichosha aisee kwenye story ambazo mi siku nyingine stakii kusikiaa
Lakini usijali mamii,hizo ni hormones imbalance tu?,zitapita.
Nkome,kome,kijiweni, aaarh kote huko umefika
Kote mrembo,si unajua mimi napaenda samaki sana,hasa ningu,nembe,domodomo,satu,sngara etc,etc tena grilled with lot of salads and condiments,huku nasushia kwa Jack Daniel au vipi,safari hii mpaka kieleweke.
 
Gogo go je ,hawavutii kula hawaa aisee
 
Post DELIVERED...gat it ting ting
 
Kuna muda upo tu na unipe story ambazo nami naweza kuchangia bana mfano tuongelee siasa,michezo,sasa we unaanza kunisimulia formula za hesabu,mara mtihan mgumu sana kulikua naformula hii na hiii aiseee
Yani nikae na wewe nianze kukusimulia Formula za hesabu kweli?.. Hata hainjoo.. Mi nikikaa na baadhi ya watu hata 1+1 nasahau ni ngapi
 
Mbona na wewe unatuletea mboyoyo zako wengine tunastress tumenyimwa papuchi usiku huu..
[emoji35] [emoji20] [emoji35] [emoji20] [emoji35]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…