Kuna watu humu wanajulikana kama mashabiki wa simba lakini hawaisemei vizuri timu yetu

Kuna watu humu wanajulikana kama mashabiki wa simba lakini hawaisemei vizuri timu yetu

KingJoh

Member
Joined
Oct 20, 2019
Posts
12
Reaction score
11
Watu hao waiuponda uongozi wa Simba in the name of mashabiki kindakindaki wa Simba. Nafkri wanajukwaa hasa ambao ni wanaSimba wenzangu, mtakuwa mashahidi kama nikisema mwenzetu GENTAMYCINE ana chuki binafsi na uongozi uliopo pale Simba, lila kukicha Uongozi wa Simba umefanya kosa hapa mara umefanya vile, yaani kiufupi amekuwa ni mtu wa kuulaumu uongozi kila siku hasa CEO wa Simba mwanadada Babra Gonzalez ambaye kwa sisi tunaoishabikia Simba tunaona anapiga kazi kubwa sana pale Simba.

Yeye anakuja na issue za uchawiuchawi tu, kuhusu reality kwny football hataki kabisa kugusia mafanikio ya huyo mwanadada na uongozi kwa ujumla.

Ifike mahali bwana Gentamycine na wengine kama yeye watwambie ni nn uongozi wa Simba uliwakosea?? It looks like bwna Gentamycine amenyimwa ulaji pale Simba, lakini kama wanakukera, si uhamie hata Yanga?? Mbona mwenzako manara yuko Yanga na maisha yanaendelea kama kawaida??

Simba ina mashabiki wengi sana, ikipoteza mashabiki 10000 kama kina Gentamycine itakuwa ni afya kuliko kukaa nao. Ni watu ambao wanataka waonekane kwmba wanafanya kitu kwa ajili ya Simba, wakinyimwa nafasi hyo, wanaanza vita na uongozi uliopo.

Ukimsikiliza Gentamycine kuhusu Uongozi wa Simba, utadhani pale Simba hakuna kinachofanyika kabisa. Lakini kwa wanaoona yanayofanyika wanamsapoti CEO wa Simba. Hata yanga hao watu wapo, kinachotakiwa ni kuangalia timu inafanya vizuri au iko vibaya??
Sisi Simba hatuwezi tukawa Mabingwa kila msimu, lazma tu na wènzetu watatuzidi nguvu kpindi fulan, sasa ukiona hvo mtu unaanza kupanic et uongozi umefanya uzembe, no hyo no football.

GENTAMYCINE JIREKEBISHE
 
Watu hao waiuponda uongozi wa Simba in the name of mashabiki kindakindaki wa Simba. Nafkri wanajukwaa hasa ambao ni wanaSimba wenzangu, mtakuwa mashahidi kama nikisema mwenzetu GENTAMYCINE ana chuki binafsi na uongozi uliopo pale Simba, lila kukicha Uongozi wa Simba umefanya kosa hapa mara umefanya vile, yaani kiufupi amekuwa ni mtu wa kuulaumu uongozi kila siku hasa CEO wa Simba mwanadada Babra Gonzalez ambaye kwa sisi tunaoishabikia Simba tunaona anapiga kazi kubwa sana pale Simba.

Yeye anakuja na issue za uchawiuchawi tu, kuhusu reality kwny football hataki kabisa kugusia mafanikio ya huyo mwanadada na uongozi kwa ujumla.

Ifike mahali bwana Gentamycine na wengine kama yeye watwambie ni nn uongozi wa Simba uliwakosea?? It looks like bwna Gentamycine amenyimwa ulaji pale Simba, lakini kama wanakukera, si uhamie hata Yanga?? Mbona mwenzako manara yuko Yanga na maisha yanaendelea kama kawaida??

Simba ina mashabiki wengi sana, ikipoteza mashabiki 10000 kama kina Gentamycine itakuwa ni afya kuliko kukaa nao. Ni watu ambao wanataka waonekane kwmba wanafanya kitu kwa ajili ya Simba, wakinyimwa nafasi hyo, wanaanza vita na uongozi uliopo.

Ukimsikiliza Gentamycine kuhusu Uongozi wa Simba, utadhani pale Simba hakuna kinachofanyika kabisa. Lakini kwa wanaoona yanayofanyika wanamsapoti CEO wa Simba. Hata yanga hao watu wapo, kinachotakiwa ni kuangalia timu inafanya vizuri au iko vibaya??
Sisi Simba hatuwezi tukawa Mabingwa kila msimu, lazma tu na wènzetu watatuzidi nguvu kpindi fulan, sasa ukiona hvo mtu unaanza kupanic et uongozi umefanya uzembe, no hyo no football.

GENTAMYCINE JIREKEBISHE
Kweli GENTAMYCINE 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' ni Habari ya Mjini.

Jiandae kuambiwa hii ID yako ni Mimi ( yangu ) na nimeanzisha huu Uzi ili Kujisifia na Kutafuta Umaarufu hapa JamiiForums.
 
Huyo jamaa ni wa kumpuuza tu, kichwani kwake hakuna kitu. Hakuna kitu alichowahi kusema kikatokea kweli. Ni kama huwa ananusa kitakachotokea ili apate mada ya kuja kuzungumza, bahati mbaya yote hayajawahi kuwa upande wake
 
Watu hao waiuponda uongozi wa Simba in the name of mashabiki kindakindaki wa Simba. Nafkri wanajukwaa hasa ambao ni wanaSimba wenzangu, mtakuwa mashahidi kama nikisema mwenzetu GENTAMYCINE ana chuki binafsi na uongozi uliopo pale Simba, lila kukicha Uongozi wa Simba umefanya kosa hapa mara umefanya vile, yaani kiufupi amekuwa ni mtu wa kuulaumu uongozi kila siku hasa CEO wa Simba mwanadada Babra Gonzalez ambaye kwa sisi tunaoishabikia Simba tunaona anapiga kazi kubwa sana pale Simba.

Yeye anakuja na issue za uchawiuchawi tu, kuhusu reality kwny football hataki kabisa kugusia mafanikio ya huyo mwanadada na uongozi kwa ujumla.

Ifike mahali bwana Gentamycine na wengine kama yeye watwambie ni nn uongozi wa Simba uliwakosea?? It looks like bwna Gentamycine amenyimwa ulaji pale Simba, lakini kama wanakukera, si uhamie hata Yanga?? Mbona mwenzako manara yuko Yanga na maisha yanaendelea kama kawaida??

Simba ina mashabiki wengi sana, ikipoteza mashabiki 10000 kama kina Gentamycine itakuwa ni afya kuliko kukaa nao. Ni watu ambao wanataka waonekane kwmba wanafanya kitu kwa ajili ya Simba, wakinyimwa nafasi hyo, wanaanza vita na uongozi uliopo.

Ukimsikiliza Gentamycine kuhusu Uongozi wa Simba, utadhani pale Simba hakuna kinachofanyika kabisa. Lakini kwa wanaoona yanayofanyika wanamsapoti CEO wa Simba. Hata yanga hao watu wapo, kinachotakiwa ni kuangalia timu inafanya vizuri au iko vibaya??
Sisi Simba hatuwezi tukawa Mabingwa kila msimu, lazma tu na wènzetu watatuzidi nguvu kpindi fulan, sasa ukiona hvo mtu unaanza kupanic et uongozi umefanya uzembe, no hyo no football.

GENTAMYCINE JIREKEBISHE
Kwani wewe umekatazwa kusifia?

Jinga Limited.
 
Mtu fulani mwenye stress,ambaye maisha aliyoyatarajia si yale anayoyaishi hivi sasa.

Hivyo njia pekee ya kuulisha furaha moyo wake ni kuwasimanga wengine

Hii husaidia kupunguza msongo wa mawazo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Watu hao waiuponda uongozi wa Simba in the name of mashabiki kindakindaki wa Simba. Nafkri wanajukwaa hasa ambao ni wanaSimba wenzangu, mtakuwa mashahidi kama nikisema mwenzetu GENTAMYCINE ana chuki binafsi na uongozi uliopo pale Simba, lila kukicha Uongozi wa Simba umefanya kosa hapa mara umefanya vile, yaani kiufupi amekuwa ni mtu wa kuulaumu uongozi kila siku hasa CEO wa Simba mwanadada Babra Gonzalez ambaye kwa sisi tunaoishabikia Simba tunaona anapiga kazi kubwa sana pale Simba.

Yeye anakuja na issue za uchawiuchawi tu, kuhusu reality kwny football hataki kabisa kugusia mafanikio ya huyo mwanadada na uongozi kwa ujumla.

Ifike mahali bwana Gentamycine na wengine kama yeye watwambie ni nn uongozi wa Simba uliwakosea?? It looks like bwna Gentamycine amenyimwa ulaji pale Simba, lakini kama wanakukera, si uhamie hata Yanga?? Mbona mwenzako manara yuko Yanga na maisha yanaendelea kama kawaida??

Simba ina mashabiki wengi sana, ikipoteza mashabiki 10000 kama kina Gentamycine itakuwa ni afya kuliko kukaa nao. Ni watu ambao wanataka waonekane kwmba wanafanya kitu kwa ajili ya Simba, wakinyimwa nafasi hyo, wanaanza vita na uongozi uliopo.

Ukimsikiliza Gentamycine kuhusu Uongozi wa Simba, utadhani pale Simba hakuna kinachofanyika kabisa. Lakini kwa wanaoona yanayofanyika wanamsapoti CEO wa Simba. Hata yanga hao watu wapo, kinachotakiwa ni kuangalia timu inafanya vizuri au iko vibaya??
Sisi Simba hatuwezi tukawa Mabingwa kila msimu, lazma tu na wènzetu watatuzidi nguvu kpindi fulan, sasa ukiona hvo mtu unaanza kupanic et uongozi umefanya uzembe, no hyo no football.

GENTAMYCINE JIREKEBISHE
Huyo jamaa ana mambo ya kitoto sana, ukimchallenge anasema eti unamuonea wivu kwakuwa yeye ni maarufu!

Ukosefu sana wa upeo huu na ujinga, anajua kukosoa anasahau kuwa kuna kukosolewa pia.
 
Watu hao waiuponda uongozi wa Simba in the name of mashabiki kindakindaki wa Simba. Nafkri wanajukwaa hasa ambao ni wanaSimba wenzangu, mtakuwa mashahidi kama nikisema mwenzetu GENTAMYCINE ana chuki binafsi na uongozi uliopo pale Simba, lila kukicha Uongozi wa Simba umefanya kosa hapa mara umefanya vile, yaani kiufupi amekuwa ni mtu wa kuulaumu uongozi kila siku hasa CEO wa Simba mwanadada Babra Gonzalez ambaye kwa sisi tunaoishabikia Simba tunaona anapiga kazi kubwa sana pale Simba.

Yeye anakuja na issue za uchawiuchawi tu, kuhusu reality kwny football hataki kabisa kugusia mafanikio ya huyo mwanadada na uongozi kwa ujumla.

Ifike mahali bwana Gentamycine na wengine kama yeye watwambie ni nn uongozi wa Simba uliwakosea?? It looks like bwna Gentamycine amenyimwa ulaji pale Simba, lakini kama wanakukera, si uhamie hata Yanga?? Mbona mwenzako manara yuko Yanga na maisha yanaendelea kama kawaida??

Simba ina mashabiki wengi sana, ikipoteza mashabiki 10000 kama kina Gentamycine itakuwa ni afya kuliko kukaa nao. Ni watu ambao wanataka waonekane kwmba wanafanya kitu kwa ajili ya Simba, wakinyimwa nafasi hyo, wanaanza vita na uongozi uliopo.

Ukimsikiliza Gentamycine kuhusu Uongozi wa Simba, utadhani pale Simba hakuna kinachofanyika kabisa. Lakini kwa wanaoona yanayofanyika wanamsapoti CEO wa Simba. Hata yanga hao watu wapo, kinachotakiwa ni kuangalia timu inafanya vizuri au iko vibaya??
Sisi Simba hatuwezi tukawa Mabingwa kila msimu, lazma tu na wènzetu watatuzidi nguvu kpindi fulan, sasa ukiona hvo mtu unaanza kupanic et uongozi umefanya uzembe, no hyo no football.

GENTAMYCINE JIREKEBISHE
Uyo uliye mtaja sio mwanasimba uyooooo ni rangi mbili
 
Huyu jamaa hata mimi nimekuwa na mashaka nae sijui ndio haji manara mwenyewe maana kila siku nikumponda CEO mara makocha hawafai na kusifia kila upuuzi unaofanywa na upande wa pili
Mara zote anapenda kusifia wachezaji mara kocha wa upande wa pili na hii tabia si ya muda ameianza hivi karibuni hadi naingiwa na mashaka huyu ndio Manara mwenyewe tuliyemtimua kundini?
 
Moja ya watu wenye IQ kubwa humu. Jamvin ni GENTAMYCINE

Jivunieni kuwa nae mtu anaye kosoa na kushauri huyo syo mtu mbaya

Watanzania mmezoea kusikia mazuri TU masikioni mwema changamoto kidogo TU MNAMUONA mpinzan
Asante na Shukran kwa hizi 'Sincere Credits' zako Kwangu na Ubarikiwe kwa Kuiona Tunu ( Shani ) Kubwa ya Baraka iliyo ndani yangu ambayo Nimezawadiwa nae Mwenyezi Mungu.

Hata hivyo nakuonya tu Mkuu kwa huku Kunisifia Kwako ( ambako nina uhakika ) kuwa Kumewakwaza 85% ya Wapumbavu wengi Wanaonichukia hapa JamiiForums tegemea kuambiwa kuwa hii ID yako ni Mimi ( yangu ) GENTAMYCINE na hapa nimeandika ili Kujjsifia ( Kujimwambafai )

Ukitaka ukubalike nao Wewe nidhihaki.
 
Back
Top Bottom