Kuna watu humu wanajulikana kama mashabiki wa simba lakini hawaisemei vizuri timu yetu

Huyo jamaa ni wa kumpuuza tu, kichwani kwake hakuna kitu. Hakuna kitu alichowahi kusema kikatokea kweli. Ni kama huwa ananusa kitakachotokea ili apate mada ya kuja kuzungumza, bahati mbaya yote hayajawahi kuwa upande wake
Mnanichukia Kutwa halafu bado mnanisoma tu hapa JamiiForums sasa Mimi na Nyie nani ni Mpumbavu na Mwendawazimu?

Kunichukia Kwenu ndiko mnaniimarisha.
 
Jibu TUHUMA acha kubweka mzee,Wenzio wamekustukia na soon watakutenga rasmi dadekiii🤣🤣🤣🤣
Kweli GENTAMYCINE 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' ni Habari ya Mjini.

Jiandae kuambiwa hii ID yako ni Mimi ( yangu ) na nimeanzisha huu Uzi ili Kujisifia na Kutafuta Umaarufu hapa JamiiForums.
 
Ubongo mwembamba sana
 
GENTAMYCINE hoyee
 
Huyo jamaa mwanzoni nilijua bonge la mtu kumbe kiaz mmoja alafu mshamba mshamba fulan anayetaka kujifanya mtoto wa mjini kumbe ni zee la umbwindeni huko mara
 
Jivunieni kuwa nae mtu anaye kosoa na kushauri huyo syo mtu mbaya

Watanzania mmezoea kusikia mazuri TU masikioni mwema changamoto kidogo TU MNAMUONA mpinzan

Ushauri gani unaosema ule wa kuagiza vitu vya Kishirikina ili avifanyie kazi Simba SC ishinde..!

Hivi hujui kukosoa ni kitu rahisi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…