Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
- Thread starter
- #21
KWAHIYO HUO NDO UJANJA WAKO?
Keep going tuone unafika wapi.......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KWAHIYO HUO NDO UJANJA WAKO?
Keep going tuone unafika wapi.......
Inategemeana... sio kujibu jibu tu bora u muteSi umuambie huna? Ama SIKUPI?
wanakopa sana kausha damu hivyo wanahangaikia marejesho ndio tunakutana nao kwenye kona😅😅Mazoea na wake za watu umeyaanzaje?
Huu ujinga mimi siwezi. Kama sina ni bora niseme sina. Au kama mtu mwenyewe ni mjinga namwambia ninayo ila sikupi.. Siku zote usije mwambia mtu kama huna hela, Hata kama hauna kweli..
. Mwambie nitakupa siku mbili tatu hizi.... Siku mbili tatu zikifika.. Mpe kalenda Nyingine ya siku mbili tatu zingine..
. Niamini mimi hutakuja kugombana na binadam yeyote yule.. Zaidi Zaidi utaitwa ni mswahili/mwamba tu.
Hapana mkuu, kuna wale kila siku kazi yao ni kuomba hela tu... Wanastahili hii process.Huu ujinga mimi siwezi. Kama sina ni bora niseme sina. Au kama mtu mwenyewe ni mjinga namwambia ninayo ila sikupi.
Mambo ya kuahidi uongo ni ulimbukeni mkubwa. Kwanini ujikweze wakati upo dhoof bin hali?
😂😂😂😂 ww inaonekana tapeli pia. Siku zote usije mwambia mtu kama huna hela, Hata kama hauna kweli..
. Mwambie nitakupa siku mbili tatu hizi.... Siku mbili tatu zikifika.. Mpe kalenda Nyingine ya siku mbili tatu zingine..
. Niamini mimi hutakuja kugombana na binadam yeyote yule.. Zaidi Zaidi utaitwa ni mswahili/mwamba tu.
Mods wekeni pinned hii 🤣🤣. Siku zote usije mwambia mtu kama huna hela, Hata kama hauna kweli..
. Mwambie nitakupa siku mbili tatu hizi.... Siku mbili tatu zikifika.. Mpe kalenda Nyingine ya siku mbili tatu zingine..
. Niamini mimi hutakuja kugombana na binadam yeyote yule.. Zaidi Zaidi utaitwa ni mswahili/mwamba tu.
Kuna mtu nilimkaanga majuzi, sasa ziku mbili tatu zimeishia leo 😀😀..😂😂😂😂 ww inaonekana tapeli pia
😂😂😂 tabia mbaya hiyo, hiyo emoji uliyoweka ni ya mtu muongo muongo.Kuna mtu nilimkaanga majuzi, sasa ziku mbili tatu zimeishia leo 😀😀..
View attachment 2959455
😀😀😀,, Mkuu itumie hiyo, zaidi Zaidi kausha damu wakikuona watakuwa wanatabasam tu.Mods wekeni pinned hii 🤣🤣
Hapo sasa, bora usemee wewee.Huu ujinga mimi siwezi. Kama sina ni bora niseme sina. Au kama mtu mwenyewe ni mjinga namwambia ninayo ila sikupi.
Mambo ya kuahidi uongo ni ulimbukeni mkubwa. Kwanini ujikweze wakati upo dhoof bin hali?
Kuna baadhi ya binadam Inabidi tuishi nao hivyo... 😀😀..😂😂😂 tabia mbaya hiyo, hiyo emoji uliyoweka ni ya mtu muongo muongo.
Muda mwingine hata hujikwezi, huombi wala humwambii mtu akuombe ila unakuta tu mtu kashazoea kuomba omba anakufata mwenyewe, sasa unabaki unajiuliza haya mazoea ya kuombana hela na huyu yametokea wapi.??Huu ujinga mimi siwezi. Kama sina ni bora niseme sina. Au kama mtu mwenyewe ni mjinga namwambia ninayo ila sikupi.
Mambo ya kuahidi uongo ni ulimbukeni mkubwa. Kwanini ujikweze wakati upo dhoof bin hali?
Sindio asee. Hebu ntumie basi hata tenga dala ninywe kasungura kamoja sikukuu hii basi mamalaiHapo sasa, bora usemee wewee.
mambo yangu hayaMimi ndo sijawahi kupokea simu ya mtu
Ikiita naiangalia , ikikata tu nakupigia
Ili niwe huru na maongezi..