Kuna watu makatili kweli kweli, achoma paka moto akiwa hai

Kumuwekea sumu Na kumchoma moto yale yale hakuna unafuu msitake kuhalalisha
Fungieni mifugo yenu vizuri ili paka asiweze kuingia
 
Alivyomtesa hivyo ndio vifaranga vimerudi? Kwani angepiga rungu moja akafa isingetosha?
 
🤣🤣
 
Mkuu nani kukufundisha matusi hivyo?
Anakera mkuu. Anataka kuonyesha kuwa kabila fulani lina watu makatili kuliko makabila mengine. Kulikuwa na haja gani ya kutaja kabila? Na mbaya zaidi anasema wenye wenza wa kichaga wawe na tahadhari. Kuna uhusiano gani kati ya mchoma paka kuwa katili na wachaga wengine? Pia ana-share tena huo ukatili anaolaani
 
Ili ionekane ni true kilichotokea dhidi ya uyo mchagga. Unazani asingeshea unyama dhidi ya mchagga nani angeamini!!!
Kuna namna unaweza kuonyesha bila kuweka tukio zima. All in all. Yeye ni mjinga zaidi kwa kuonyesha kuwa wachaga wote ni makatili kwa sababu tu mjinga mmoja amefanya hili tukio.
 
Hahaha ningetaja kabila lako sawa. Nimetaja kabila langu
Kuna dada limchoma mtu ndani


Kuna kipindi machame walikuwa wanatuchinja warombo. Wanakuja wanawavua watoto nguo na wakiona wa kiume wanachinja
Warombo wakafanya utetezi, mpakanl leo ni laana hakuna mmachame anayejenga nyumba yake ikatazama Rombo?

Kuna kipindi nilikuwa maandika vitabu kuhusu historia ya wachaga. Unajua mtoto alikuwa akitanguliza miguu wanamuweka kwenye Iramba wanam drown anakufa maji? Je unajua kuwa walikuwa watoto wakizaliwa mapacha wanaachwa tu porini waliwe na fisi kwa madai kwenye huo mji hu hakutokuja kuwa na watoto wa kiume. .

Mimi mwenyewe mchaga tena wa damu ila sizungumzii ukabila, nina vingi vya kusema.

Wewe una yako moyoni tu, sio kweli kuwa nimekusudia kukuudhi wewe tu
Nimekwambia jana, unapoona taarifa habari ajali imetokea ITV huwa hawaonyeshi? Nimeona watu wanapigwa risasi mubashara kwenye TV mbona hujatoa malalamiko yako nikayaona. .

Jumapili leo siku ya Bwana
Acha hizo sio poa
 
You must feel like a big person sitting behind on your phone and insult so cowardly
Accidents happen on roads they dont just read the news on TV without showing the accident SITE with people woonded, do they??

You are the stupid one not me. .
Nilimiss thread zako Mkuu
You're perfect ..
 
Kuna namna unaweza kuonyesha bila kuweka tukio zima. All in all. Yeye ni mjinga zaidi kwa kuonyesha kuwa wachaga wote ni makatili kwa sababu tu mjinga mmoja amefanya hili tukio.
Alieyesema wachaga wote makatili nani?
Acheni kutoa povu tafuteni pesa mambo mengine hayana msingi
 
Tatizo wengi mnaangalia mlipoangukia na siyo mlipojikwaa. Hawa paka wengi wameamua kuishi maisha ya wizi kwa sababu wametelekezwa. Mtu anafuga paka, anaacha wanazaana hovyo hawapi huduma,halafu anategemea watakula nini? Asilimia kubwa ya paka wezi chanzo ni binadamu.
 
Alieyesema wachaga wote makatili nani?
Acheni kutoa povu tafuteni pesa mambo mengine hayana msingi
Soma hapa: ''Nimeandika haya nikimfikiria huyu mchaga ana roho ya namna gani kuchoma paka moto. Mie kama kuna paka anakula mifugo ningemuwekea sumu kwenye samaki. Lakini huyu jamaa ana roho ya namna gani. Mimi ni mchaga wa mkuu Rombo lakini aisee kuna wachaga wana roho ngumu sana. Nawataadharisha wale wenye wenza wa kichaga chungeni sana kuweni makini mnooo...''

Haya maneno hapo juu ni jini ameandika? Soma sentensi ya mwisho.
 
Kutaja kuwa wewe ni mchaga ndiyo kunahalalisha kusema wenye wenza wachaga wawe na tahadhari eti kwa sababu kuna mchaga mmoja kachoma paka? Unatania au unaandika tu kufurahisha baraza? Hata kwa kukuita idiot nimeku-favour sana.
 
Nimesema KUNA wachaga sijasema wachaga wote
Naona umekuja kuwatetea wachaga
Mwanangu acha hizo
 
Kutaja kuwa wewe ni mchaga ndiyo kunahalalisha kusema wenye wenza wachaga wawe na tahadhari eti kwa sababu kuna mchaga mmoja kachoma paka? Unatania au unaandika tu kufurahisha baraza? Hata kwa kukuita idiot nimeku-favour sana.
Nimesema KUNA wachaga
Sijasema wachaga wote
Pili you are putting your own words kwenye mdomo wangu
Nimeandika very clear inaeleweka na nimeulizwa nikajibu njilichomaanisha
Unafosi moja iwe mbili

Namaliza basi mjadala "Am Idiot". Unafikiri napungukiwa na nini vile🙂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…